• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Jiji Dodoma watakata UMISSETA Mkoa

Imewekwa tarehe: June 11th, 2021

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imetakata katika mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa Shule za Sekondari (UMISSETA) ngazi ya mkoa kwa kuibuka mshindi wa jumla katika mashindano hayo na kubeba makombe 9 katiya 12  yaliyokukwa yakigombewa katika michezo mbalimbali.

Akiongelea siri ya ushindi huo, Mkuu wa Idara ya Elimu Sekondari wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Mwalimu Upendo Rweyemamu alisema kuwa ushirikiano ndiyo msingi wa mafanikio hayo.

“Ninayo furaha kubwa sana kwa matokeo ya leo ya UMISSETA. Tumekuwa hapa tukishindana na Halmashauri nane za Mkoa wa Dodoma na Jiji la Dodoma tumeibuka kidedea kwa kuibuka na makombe 9 kati ya makombe 12 yaliyoshindaniwa. Nawashukuru sana walimu wangu wa michezo ambao wamewaandaa wanafunzi hawa katika ngazi ya shule, kata, tarafa na ngazi ya wilaya na hatimaye sasa katika ngazi ya mkoa. Ninawapongeza sana walimu wa michezo kwa kupambana. Ninawashukuru wakuu wangu wa shule wa Dodoma Jiji pamoja na Maafisa Elimu Kata kwa kunitia moyo na tumekuwa tukishauriana sana. Hivyo, umoja wetu ndiyo umetusababishia ushindi huu mkubwa” alisema Mwalimu Rwenyemamu.

Timu ya UMISSETA ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma imebeba vikombe tisa, katika michezo ya mpira wa mikono (wasichana), mpira wa mikono (wavulana), mpira wa wavu (wasichana), mpira wa miguu (wasichana), mpira wa pete, mpira wa kikapu (wasichana), mpira wa kikapu (wavulana), kwaya na ushindi wa jumla ya mashindano yote.

Timu ya UMISSETA Mkoa wa Dodoma itaweka kambi kwa muda wa wiki moja kujiwinda na mashindano ya kitaifa yatakayofanyika Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara.

Kwa upande wake, kapteni wa timu ya mpira wa kikapu ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma iliyoibuka na kombe la mchezo huo, Gervas Fred alisema kuwa siri ya mafanikio ni ushirikiano na kucheza kwa umoja kama timu. Alisema kuwa mafunzo mazuri ya kocha wao yalikuwa chachu ya mafanikio katika michezo yote waliyoshiriki.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.