• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Jiji, DUWASA wapambana na Corona

Imewekwa tarehe: April 3rd, 2020

MAMLAKA ya Maji safi na usafi wa Mazingira Mjini Dodoma (DUWASA) imetoa ndoo 40 za kunawia mikono pamoja na mifuko miwili ya sabuni katika kuunga mkono vita dhidi ya ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na virusi vya Corona Nchini.

Meneja ufundi wa DUWASA ambaye alimwakilisha Mkurugenzi Mtendaji wa mamlaka hiyo Mhandisi Kashirimu Mayunga amesema kuwa wameamua kushirikiana na Halmashauri ya Jiji la Dodoma ili kupambana na gonjwa hilo hatari ambalo ni janga la Dunia kwa sasa.

“Tumetoa ndoo hizi arobaini na mifuko miwili ya Sabuni ambayo wao kama Jiji wataangalia wenyewe wataweka wapi ndoo hizo ili kusaidia wana Dodoma kujikinga na ugonjwa huu hatari” alisema Mayunga.

Wakati akipokea vifaa hivyo, Mkuu wa Idara ya Mazingira na Udhibiti wa Taka Ngumu Jiji la Dodoma Dickson Kimaro  alisema kuwa, wao kama Jiji watahakikisha vifaa hivyo vinatumika ipasavyo ili kujikinga na maambukizi ya Ugonjwa wa COVID-19 ambao tayari umeingia nchini.

“Tunasema asante sana kwa wenzetu wa DUWASA kwa kutupatia ndoo arobaini na mifuko miwili ya sabuni vifaa ambavyo vitasaidia sana kupambana na ugonjwa huu ndani ya Jiji la Dodoma” alisema Kimaro.  

Mkuu huyo wa Idara ambaye alimwakilisha Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Godwin Kunambi, alitoa wito kwa wadau wengine Jijini humo kujitokeza kuunga mkono kwa vitendo juhudi za kupambana na janga hilo kwa kusaidia makundi mbalimbali yenye mahitaji ikiwemo kutoa vifaa vya kujikinga na kujisafisha.

Meneja Ufundi wa DUWASA, Kashirimu Mayunga (kulia) akimkabidhi ndoo Mkuu wa Idara ya Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Dickson Kimaro (kushoto) aliyemwakilisha Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma.

Ndoo arobaini (40) zilizotolewa na DUWASA kusaidia mapambano dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid-19 katika Jiji la Dodoma.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.