• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Jiji kutoa elimu unyonyeshaji maziwa ya mama, ulishaji watoto wadogo

Imewekwa tarehe: August 2nd, 2019

VITUO 59 vya Halmashauri ya Jiji la Dodoma kutoa elimu na hamasa juu ya unyonyeshaji maziwa ya mama na ulishaji watoto wadogo katika maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama duniani.

Kauli hiyo imetolewa na Afisa Lishe wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Eva Semeni Juma alipokuwa akiongea na waandishi wa habari kuhusu maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji maziwa ya mama duniani ofisini kwake leo.

Juma alisema “Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa kushirikiana na wadau tunaadhimisha maadhimisho haya kila mwaka. Miongoni mwa mambo tunayofanya ni kuhamasisha jamii kupitia vyombo vya habari hasa redio za ndani ya Jiji, kuelimisha dhana ya wiki ya unyonyeshaji na ulishaji watoto wadogo”. Kupitia vituo 59 vyenye huduma ya kliniki ya mama na mtoto, kina mama wenye watoto chini ya miaka mitano wanapata elimu hiyo tangu tarehe 1-7 mwezi Agosti, 2019, alisema. Alisema kuwa katika kuhakikisha zoezi hilo linafanikiwa, wataalam wa Halmashauri wamejiandaa vizuri na wanatoa elimu hiyo vizuri.

Afisa Lishe huyo alielezea faida za unyonyeshaji maziwa ya mama na kusema kuwa maziwa hayo ni mlo kamili na lishe bora kwa mtoto. “Maziwa ya mama yana virutubisho vyote vinavyohitajika kwa mtoto kwa kipindi cha miezi sita ya mwanzo na kuendelea hadi miaka miwili” alisema Juma.  

Faida nyingine ya unyonyeshaji maziwa ya mama alizitaja kuwa maziwa hayo yanawezesha ukuaji wa mtoto na kumuepusha na kudumaa na kukua kwa ubongo na kumkinga dhidi ya maradhi. Maziwa hayo husaidia kujenga uhusiano mzuri kati ya mama na mtoto kupitia unyonyeshaji.

Ikumbukwe kuwa kaulimbiu ya maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji duniani kwa mwaka 2019 inasema “tuwawezeshe wazazi kufanikisha unyonyeshaji”. Kwa pamoja wazazi wote wawili wana umuhimu katika kufanikisha unyonyeshaji sahihi wa maziwa ya mama.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.