• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Jiji la Dodoma, Arusha vinara ukusanyaji Mapato ya ndani

Imewekwa tarehe: November 24th, 2018

Halmashauri ya Jiji la Dodoma na Arusha zimebuka vinara wa ukusanyaji mapato ya ndani kwa robo ya kwanza ya mwaka wa 2018/19 (kipindi cha mwezi Julai hadi Septemba).

Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mheshimiwa Selemani Jafo wakati akitoa taarifa ya ukusanyaji wa mapato ya ndani ya Halmashauri zote nchini kwa kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa Fedha 2018/19.

Waziri Jafo amebainisha kuwa Halmashauri ya Jiji la Dodoma imeongoza kwa kukusanya mapato ghafi yaani Fedha nyingi kuliko Halmashauri zote nchini; Jiji la Dodoma limekusanya kiasi cha shilingi Bilioni 14.4 kati ya bajeti  yao ya kukusanya shilingi bilioni 68. Makusanyo hayo yamefikia kiasi cha asilimia 21 ya malengo waliyojiwekea.

Halmashauri ya Jiji la Arusha imeongoza kwa kukusanya vizuri kiasilimia na imefanikiwa kukusanya mapato yao kwa asilimia 26 ya malengo waliyojiwekea. Hii inamaanisha Jiji la Arusha limekusanya kias/i cha shilingi bilioni 4.1 kati ya shilingi bilioni 15.6 ya malengo yao ya makusanyo kwa mwaka wa Fedha 2018/19.

"Ieleweke wazi kuwa Jiji la Arusha ndi lililofanya vizuri kimakusanyo kwa mujibu wa asilimia lakini Jiji la Dodoma ndio lililokusanya fedha nyingi zaidi kuliko Halmashauri zote nchini Tanzania" alisema Waziri Jafo.

Aliongeza kuwa kwa upande wa Halmashauri za Manispaa  iliyofanya vizuri zaidi ni Manispaa ya Musoma na kwa Halmashauri za Mji zimeongozwa na Halmashauri ya Mbinga na upande wa Halmashauri za Wilaya zimeongozwa na Halmashauri ya Kisarawe.

Mheshimiwa Waziri Japo alisema kuwa kwa makusanyo hayo ukiyaweka Kimkoa, basi Mkoa wa Simiyu unaongoza ukifuatiwa na Manyara, Lindi, Mara, Pwani, Arusha, Njombe, Dodoma, Mwanza na kisha Geita.

Waziri alisema Halmashauri zilizofanya vibaya zaidi kwa kukusanya chini ni Halmashauri ya  Wilaya ya Masasi, Mji wa Nanyamba, Wilaya za Nanyumbu, Newala, Tandahimba, Songea, Madaba, Rorya na Morogoro.

Kwa upande wa Mikoa iliyofanya vibaya kwa kukusanya mapato kidogo ni Mkoa wa Mtwara, Ruvuma na Kigoma. Waziri Jafo aliwakumbusha viongozi wanaohusika kuwa ukusanyaji wa mapato ndio kitakuwa kigezo cha kupimwa katika utendaji wazi wao, hivyo kila mtu ajitathmini kulingana na mapato ya Halmashauri au Mkoa wake.

Kwa mwaka wa Fedha 2018/19 Halmashauri zilipangiwa kukusanya shilini bilioni 735.6 kutoka kwenye vyanzo vyake vya  ndani; hadi kufikia tarehe 30/09/2018 Halmashauir zilikusanya jumla ya shilingi bilioni 143.6 sawa na asilimia 20 ya makisio ya mwaka. Kwa mwaka wa fedha 2017/18 Halmashauri zilipangiwa kukusanya shilingi bilioni 687.3 na hadi kufikia Septemba 30 mwaka 2017 ziliweza kukusanya shilingi bilioni 126.8 sawa na asilimia 18 ya makisio ya mwaka. "Kutokana na takwimu hizo inaonesha kwamba Halmashauri zimeongeza wingi wa mapato kwa kiasi cha shilingi 16.7 na ufanisi wa ukusanyaji wa mapato ya ndani umeongezeka kwa asilimia 2" alisema Mhe. Waziri Jafo.

Chanzo: Tovuti ya OR-TAMISEMI

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.