• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Jiji la Dodoma kinara maonesho ya Nanenane

Imewekwa tarehe: August 9th, 2024

Na. Dennis Gondwe, DODOMA

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma kinara wa tuzo na zawadi mbalimbali kwenye maonesho ya kimataifa ya Nanenane kutokana na kufanya vizuri katika maeneo mengi na kuwa kivutuo kwa wageni waliotembelea maonesho hayo.

Katika tuzo na zawadi zilizotangazwa mbele ya Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan Halmashauri ya Jiji la Dodoma iliibuka mshindi katika vipengele sita vya mashindano ya Nanenane.

Katika kipingele cha zawadi za wakulima bora kitaifa Kanda ya Kati iliyotolewa na Bodi ya Pamba, Dafalas Wadaa kutoka Halmashauri ya Jiji la Dodoma alizawadiwa zawadi ya Trekta.

Kipengele cha wafugaji bora, mshindi wa kwanza aliibuka John Nassar kutoka Halmashauri ya Jiji la Dodoma na kuzawadiwa mitamba miwili yenye thamani ya shilingi 9,000,000, mashine ya kukamua yenye thamani ya shilingi 2,300,000 na fedha taslimi shilingi 18,700,000.

Maeneo mengine ambayo Halmashauri ya Jiji la Dodoma iliibika kidedea ni eneo la wafugaji wadogo wa ng’ombe wa maziwa ambapo wafugaji John Nassar aliibuka mshindi wa kwanza na kupata zawadi ya shilingi 2,500,000 na Viola Kweka, mshindi wa pili na kupata zawadi ya shilingi 2,000,000. Kwa wafugaji wadogo wa mbuzi wa nyama, Venderine Liakurwa pia wa Dodoma Jiji aliibuka mshindi wa pili na kupata zawadi ya shilingi 1,000,000.

Eneo la wafugaji wadogo wa mbuzi wa maziwa, Halmashauri ya Jiji la Dodoma ilitoa washindi wa kwanza na wa pili mtawalia. John Nassari aliyepata zawadi ya shilingi 1,500,000 na Caroline Shayo aliyepata shilingi 1,000,000.

Kwa washindi katika mikoa ya Dodoma na Singida, Halmashauri ya Jiji la Dodoma iliibuka kidedea kwa kushika nafasi ya kwanza ikizitangulia Halmshauri za Wilaya ya Kondoa na Mpwapwa za Mkoa wa Dodoma.

Maonesho ya Nanenane mwaka 2024 yanaongozwa na kaulimbiu isemayo “Chagua viongozi bora wa serikali za mitaa kwa maendeleo endelevu ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi”.






Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.