• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Jiji la Dodoma kukusanya shilingi 1,902,895,000.00 kutoka Soko la wazi la Machinga

Imewekwa tarehe: October 27th, 2024

 Na. Asteria Frank, DODOMA

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imepanga kukusanya kiasi cha shilingi 1,902,895,000.00 kutoka vyanzo mbalimbali vya mapato katika Soko la wazi la Machinga ili kuweza kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi katika kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2024/2025.

Kauli hiyo ilitolewa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Dkt. Frederick Sagamiko wakati akisoma taarifa ya uendeshaji wa Soko la wazi la Machinga kwa Kamati kudumu ya Bunge ya Tawala za Miko ana Serikali za Mitaa iliyofanya ziara ya kutembelea na kukagua maendeleo ya soko hilo lililopo eneo la Bahi Road jijini Dodoma.

Dkt. Sagamiko alisema kuwa ujenzi wa soko hilo uligharimu kiasi cha shilingi 9,529,747,200.66. Kati ya fedha hizo shilingi 6,529,747,200.66 ni mapato ya ndani ya Halmashauri ya Jiji, shilingi 2,500,000,000.00 ni ruzuku kutoka Serikali kuu na shilingi 500,000,00.00 ni fedha za Mpango wa Maendeleo kwa Ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya Uviko -19 na kuwa soko limekamilika na tayari linatumika.

“Kwa mujibu wa usanifu soko linatarajiwa kubebea wafanyabiashara wadogo 3,034. Hata hivyo, wakati wa utekelezaji soko limekuwa na uwezo wa kubeba wafanyabiashara 2,553 ambapo wamegawanywa katika zoni 10 ambazo ni A, AB, B, BC, C, D, DE, E, EF na F. Kutokana na ongezeko la wafanyabiashara wadogo katika soko hili ililazimika  kutengwa kwa eneo la mbele ya soko na pembezoni ili kuweza kubeba wafanyabiashara 100 mpaka 200 ambao hupanga biashara zao katika eneo maalumu ndani ya soko nyakati za jioni na hupaswa kuchangia kiasi cha shilingi 500.00 kwa siku kama gharama ya usafi na kwa kipindi cha Julai, 2023 hadi Juni, 2024, soko hili limeweza kukusanya kiasi cha shilingi milioni 460 katika shilingi bilioni 1 iliyokasimiwa sawa na asilimia 46 ya lengo” alisema Dkt. Sagamiko.

Alisema kuwa ujenzi wa soko hilo umeliweka Jiji la Dodoma katika mandhari safi na kurahisisha shughuli za usafi na utunzaji wa mazingira. Ujenzi huo umerahisisha utoa wa huduma za msingi kwa wafanyabiashara. “Halmashauri ili kuweza kufikia lengo la bajeti iliyowekwa tayari imeandaa mikakati ifatayo. Tayari halmashauri iemshatengeneza tenda na imempata mzabuni atakayehusika kukusanya ushuru na kodi kwa wafanyabiashara wote ndani ya soko. Halmashauri inaendelea na zoezi la kuelimisha wafanyabiashara kupitia viongozi wao juu ya ulipaji ushuru na utunzaji wa miondombinu ya soko. Kwa kushirikiana na viongozi wa soko halmshauri imeadaa kutatua changamoto mbalimbali zinapojitokeza kwa lengo la kuboresha mazingira ya biashara kwa kundi hili” alisema Dkt. Sagamiko.

Kamati ya kudumu ya Bunge ya Tamisemi ilifanya ziara ya kawaida ya kutembelea na kukagua maendeleo ya uendeshaji wa Soko la wazi la Machinga lililojengwa katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa zaidi ya shilingi bilioni tisa likiwa na uwezo wa kubeba zaidi ya wafanyabiashara 3,000.

 

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.