• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Jiji la Dodoma laazimia kupambana na malaria

Imewekwa tarehe: July 27th, 2019

Usafi wa Mazingira Jumamosi hii umefanyika katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dodoma. Katika Kata ya Miyuji usafi ulifanyika katika eneo la Makaburi ya Wahanga ambapo pia kuliambatana na zoezi la upuliziaji wa dawa za kuua mazalia ya mbu kwenye mabwawa ya maji na maeneo yenye mazalia ya mbu. Zoezi la kuua mazalia ya mbu lilifanywa na timu ya maafisa afya wa jiji la Dodoma.

Afisa Afya wa Jiji la Dodoma Abdalah Mahia alisema, kazi ya uangamizaji wa mazalia ya mbu katika mabwawa, mashimo ya maji taka na maeneo yote ambayo mbu wanaweza wakataga mayai. Alisema dawa hizo hazina kemikali hivyo basi, hazina madhara kwa binadamu. Akasisitiza wananchi  kuchukua dawa hizo na kwenda kuzitumia kwenye mazingira ya majumbani kwao ili kutokomeza mbu. Lengo kuu ikiwa ni kujikinga na magonjwa ya malaria, dengue na mbu wanaosababisha mabusha na matende.

Tuko katika mkakati wa kutokomeza magonjwa hayo na wananchi wanatakiwa kuchukua dawa hizo kwa ajili ya kwenda kutumia majumbani kwao.

Afisa Afya wa Jiji pia alitahadharisha wananchi kuwa Dodoma kwa sasa kuna tatizo la ugonjwa wa sumukuvu, ambao husababishwa na vyakula vya nafaka kuweka ukungu (fangasi).

Utaratibu uliowekwa na Jiji ni watu wote kukagawiwa dawa na kuua mazalia ya mbu kupitia kwa mabalozi wao.

Mapema akiongea na wananchi wa  Kata ya Miyuji, Afisa Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu Dickson Kimaro aliwashukuru wananchi wa Miyuji kwa kujitokeza kwa wingi kufanya usafi. Katika zoezi hilo kazi kubwa ilifanyika kusafisha mazingira ya eneo la Makaburi ya Wahanga. Eneo hilo lilisafishwa kwa kuondolea takataka na  vichanga vilivyokuwa vinazunguka mazingira hayo na hata kuwa sehemu ya maficho ya vibaka.

Kimaro aliwakumbusha wananchi kuwa usafi ni kila jumamosi na usafi unatakiwa kufanyika mita tano kuzunguka maeneo ya makazi na sehemu za biashara. Lengo ikiwa ni kuweka jiji letu safi na kujiepusha na magonjwa mbali mbali yakiwemo yale ya milipuko.

Wananchi wa Kata ya Miyuji wakishiriki usafi wa kila Jumamosi, hapa wakifanya usafi kwenye Makaburi ya Wahanga


Umati mkubwa wa wananchi wa Kata ya Miyuji walioitikia mwito wa kufanya usafi siku ya jumamosi wakiwa na vifaa mbalimbali vya kufanyia usafi.


Zoezi la kufanya usafi likiendelea kwenye Makaburi ya Wahanga Miyuji.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.