• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Jiji la Dodoma lapata ugeni kutoa Italia

Imewekwa tarehe: May 11th, 2022

OFISI ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma imepokea ugeni kutoka nchini Italia ambao ni asasi ya kiraia inayojulikana kama CMSR chini ya Mkurugenzi Mtendaji ndugu Alberto Benvenun inayojihusisha na masuala ya kijamii katika sekta mbalimbali kama vile afya, elimu, kilimo na maji ambapo kimsingi sekta hizo zimekkuwa na changamoto kubwa katika utoaji wa huduma zake katika jamii.

Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma ndugu Joseph Mafuru pamoja na Mstahiki Meya wa Jiji hilo Profesa Davis Mwamfupe walikutana na ujumbe wa asasi hiyo ya kiraia kwa lengo la kutambua shughuli wanazozifanya katika kusaidia jamii kwenye sekta mbalimbali ambapo jiji la Dodoma limekuwa ni moja ya maeneo yanayonufaika na asasi hii ya kiraia kutoka nchini Italia.

CMSR ni taasisi binafsi yenye makao makuu yake katika mji wa Livomo nchini Italia ambapo kwa muda mrefu imejikita katika kusaidia wananchi wanoishi katika mazingira magumu kwa kutoa huduma za maji, afya na elimu ambapo katika maeneo mengi imekuwa ngumu wananchi kupata huduma hizi kwa uhakika.

Mkurugenzi Mtendaji wa asisi hii ya kiraia ya CMSR ndugu Alberto Benvenun ameeleza maeneo katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma yaliyonufaika katika miradi yao kuwa ni Kata ya Zuzu ambapo waliweza kufunga mabomba ya maji, wamefunga mitambo ya umeme wa jua katika vituo vya afya katika maeneo ya Chamwino na kuwa wana utaratibu wa kuwalipia ada za shule kwa wanafnuzi wenye uhitaji. Mpaka sasa zaidi ya wanafazui 43 wamewalipia ada na  zaidi ya wanafunzi 10 wamefikia hatua ya elimu ya Chuo Kikuu.

Mstahiki Meya Profesa Davis Mwamfupe ameahidi kuandaa utaratibu mzuri katika kikao cha Baraza la Madiwani kwa kuzitambua taasisi binafsi ambazo zinajishughulisha na masuala ya kijamii kaitka Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

Mstahiki Meya wa Jiji la Dodoma Profesa Davis Mwamfupe akiongea wakati ugeni kutoka Italia ulipotembelea ofisi za Jiji la Dodoma kwa ajili ya ushirikiano hasa kwenye utoaji wa huduma za jamii.

Mazungumzo kati ya uongozi wa Jiji la Dodoma na CMSR yaliyofanyika ofisini kwa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.