• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Jiji la Dodoma latoa Milioni 545 kwa wajasiliamali

Imewekwa tarehe: October 26th, 2020

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imetoa mikopo yenye thamani ya zaidi ya shilingi 545,000,000 kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu katika robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2020/2021 ili kuviinua vikundi hivyo kiuchumi.

Hayo yalikuwa kwenye taarifa ya utoaji wa mikopo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kwa Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dkt. Binilith Mahenge, taarifa iliyosomwa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma Joseph Mafuru katika halfa ya kukabidhi mikopo hiyo iliyofanyika katika bustani ya Nyerere ‘square’ jana.

Mkurugenzi Mafuru alisema kuwa katika kipindi cha mwaka wa fedha 2020/2021, Halmashauri ya Jiji la Dodoma imetenga jumla ya shilingi 2,262,708,770 kwa ajili ya mikopo ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu. “Katika robo ya kwanza Julai-Septemba, 2020, Halmashauri imetoa mikopo yenye thamani ya shilingi 545,000,000. Vikundi saba vya wanawake vimepewa shilingi 125,000,000, vikundi viwili vya vijana vimepewa shilingi 378,000,000 na vikundi vitano vya watu wenye ulemavu shilingi 42,000,000. Vikundi hivyo vimekopeshwa ili kutekeleza miradi ya usafirishaji na kupewa bajaji na bodaboda, ufugaji wa ng’ombe wa maziwa, ujenzi wa machinjia ya kuku, utengenezaji wa bidhaa za ngozi, saluni na ushonaji” alisema Mafuru.

Akioelezea historia ya mikopo hiyo, alisema kuwa Halmashauri ilianza kutoa mikopo kwa makundi maalum mwaka wa fedha 2015/2016. “Kuanzia mwaka 2015/2016 hadi mwaka 2019/2020, mikopo iliyotolewa kwa makundi hayo ni shilingi 5,292,829,899. Vikundi 812 vya wanawake vimenufaika na shilingi 3,254,962,583, vikundi 425 vya vijana vimenufaika na shilingi 1,856,537,316 na vikundi 30 vya watu wenye ulemavu vimenufaika na shilingi 181,330,000” alisema mkurugenzi huyo.

Kuhusu ufuatiliaji wa marejesho ya mikopo hiyo, aliutaja kuwa unaendelea vizuri. “Hadi kufikia mwezi Septemba, 2020 kati ya shilingi 5,292,829,899 zilizokopeshwa, shilingi 2,526,769,984 zimerejeshwa na kiasi kilichobaki ufuatiliaji unaendelea” alisema Mafuru.

Halmashauri ya Jiji la Dodoma imetoa mikopo ya bodaboda 46, bajaji 20 na guta moja kwa vikundi vya vijana zenye thamani ya shilingi milioni 378 kati ya mikopo ya shilingi milioni 545 iliyopokesha makundi maalum robo ya kwanza Julai-Septemba, 2020.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.