• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Jiji la Dodoma limefanikiwa kuandikisha wanafunzi zaidi ya elfu kumi wa darasa la Awali na Msingi.

Imewekwa tarehe: January 8th, 2024

AFISA Elimu Awali na Msingi Jiji la Dodoma, Prisca Myalla amesema Jiji la Dodoma mpaka kufikia tarehe 8 Januari,2024 limefanikiwa kusajili wanafunzi zaidi ya elfu kumi wa darasa la Awali na Msingi.

Hayo aliyasema alipotembelea shule ya msingi Nzughuni B na Chikole zilizopo jijini hapo kuangalia uzunduzi wa madarasa mapya na hali ya uandikishaji wa wanafunzi wa elimu ya awali na darasa la kwanza.

“Ni jambo la kumshukuru Mungu mpaka sasa halmashauri imefanikiwa kusajili wanafunzi zaidi ya elfu kumi wa darasa la awali na msingi. Nawapongeza sana viongozi wa kata na mtaa kwa uhamasishaji pia nawapongeza wazazi kwa kutii wito na kuwapeleka watoto waliofikisha umri wa kwenda shule kujiandikisha shuleni, kila mtoto anahaki yakupata elimu na kwakulitambua hilo Rais wetu Dkt Samia Suluhu Hassan amehakikisha anatoa elimu bure kwa watoto wetu ili kila mmoja apate fursa ya elimu niwaombe wazazi tuhakikishe tunaunga jitihada hizi za Rais wetu kwa kuhakikisha watoto wetu kweli wanaenda shule kusoma na sio kuishia mitaani” alisema Myalla.

Sambamba na hilo Myalla aliongezea kuwa kutakua na mafunzo ya mtaala mpya wa masomo kwa walimu wa shule ya awali na msingi.”Tunatarajia kuanza mafunzo ya walimu ndani ya wiki hii ili walimu wetu waendane na kasi za mtaala mpya

Kwa upande wake Rose Malembeka, Mwanafunzi kutoka shule ya Nzughuni B alimshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwapa elimu bure na kuwajengea madarasa huku akiahidi hawatomuangusha watasoma Kwa bidii”Kwa niaba ya wanafunzii wenzangu namshukuru sana  mama Samia kwa kutujengea madarasa hatuna cha kumlipa zaidi tunaahidi tutasoma kwa bidii kuhakikisha tunayafika malengo yetu”.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.