• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Jiji laanza elimu ya Postikodi, Madiwani wapigwa msasa

Imewekwa tarehe: March 12th, 2022

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imeanza kutoa elimu na mafunzo kwamakundi ya wadau kuhusiana na zoezi la kitaifa la uwekaji wa Anwani za Makazina Postikodi katika nyumba na mitaa yote 222 ya Jiji hilo ambapo kundi lakwanza limejumuisha Madiwani wa Kata zote 41 za Halmashauri hiyo.

Semina hiyo imetolewa Machi 11,2022 katika ukumbi Mkuu wa Mikutano wa Jiji hilo ambapo iliendeshwa na wajumbewa Kamati inayosimamia zoezi ikiongozwa na mratibu wa Joseph Nkuba.

Akitoa muhtasari wa maendeleo yakazi hiyo kwa madiwani hao, Nkuba alisema tayari uzinduzi rasmi ulishafanywa naMkuu wa Wilaya ya Dodoma Jabir Shekimweri na kwamba wameshaajiriwa vijana 300watakaofanya kazi ya kukusanya taarifa za kila nyumba na kuzisajili katikamfumo wa anwani pamoja na kusajili barabara na mitaa yote.

“Sasa zoezi linalofuatia nikutambua namba za nyumba kwa mitaa yote na kuchukua taarifa za wakazi nakuzisajili katika mfumo ambalo litaanza Machi 14, 2022 na kukamilika April 172022” alisema.

Wakizungumza kwenye semina hiyomadiwani wa jiji la Dodoma walisema kuwa mradi wa uwekaji anwani za makazilitawawezesha wananchi wao kujiinua kiuchumi kwa kuwa utaleta maendeleo.

Meya wa Jiji la Dodoma MstahikiProf. Davis Mwamfupe aliwataka madiwani, watendaji, na wenyeviti wa mitaa ndaniya jiji hilo kuwa mabalozi wa kuwaelimisha wananchi ili zoezi hilo likamilikekwa wakati.

Aidha, amewataka wataalam kwaupande wao kuifanya kazi hiyo kwa uzalendo na wananchi kutoa taarifa sahihi kwaajili ya kuziweka kwenye mfumo na kuwezesha kutambulika kwa mitaa.

Kwa upande wake Israel Mwansasuambaye ni diwani wa kata ya Kikuyu Kaskazin alisema kuwa, mradi huo kwa kuwaunawagusa watanzania wote unatakiwa kila mmoja kuhakikisha anakuwa mlinzi wakulinda miundombinu yake.

Semina hiyo itafanywa kwa sikumbili ambapo kundi linalofuata ni watendaji wa kata na mitaa pamoja vijana 300waliopatiwa ajira ya muda ya kufanya kazi hiyo.





Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.