• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Jiji laanza kazi Kituo cha Huduma Pamoja

Imewekwa tarehe: August 5th, 2021

Vituo vya Huduma Pamoja (One Stop Service Center) vya awali vimeanza kufanya kazi tangu tarehe 01 Julai, 2021 katika majiji ya Dar es Salaam na Dodoma na vyote viko katika majengo ya matawi ya Shirika la Posta Tanzania.

Halmashauri ya Jiji la Dodoma ni miongoni mwa taasisi za mwanzo kabisa ambazo zimeanza kutoa huduma katika Kituo cha Huduma Pamoja Dodoma, ambapo Afisa Biashara Mwandamizi wa Jiji la Dodoma ametolea maelezo kuhusiana na huduma wanazozitoa ili kuwarahisishia wananchi upatikanaji wa huduma.

Afisa Biashara Mwandamizi wa Jiji la Dodoma, Donatila Vedastus (pichani juu) amesema kuwa, “Katika Kituo cha Dodoma tunatoa fomu za maombi ya leseni za biashara, tunatoa elimu inayohusiana na uendeshaji wa biashara kwa kufuata sheria, kanuni na taratibu.

Aidha, tunatoa namba za malipo (Control Number) kwa ajili ya malipo ya serikali ya leseni za bishara na vileo, pia tunasajiri wafanyabiashara wapya kwenye mfumo wa ukusanyaji wa mapato na kuhuisha leseni za biashara zilizoisha muda wake”. Amesema Afisa huyo wa Jiji la Dodoma na kutoa wito kwa wananchi na wafanyabiashara wa Dodoma kufika katika kituo hicho ili kupata huduma.

Vedasto ameishukuru Serikali kwa kuliona hili la kufungua Kituo cha Huduma Pamoja, “Sisi kama Jiji tumepata eneo la ziada la kutolea huduma zetu, hapo mwanzo tulikuwa tunatoa huduma hizi kwenye ofisi zetu zilizoko karibu ya Sabasaba pekee, lakini sasa tuna mahali pengine na wafanyabiasha wamepata uwanja mpana wa kuchagua mahali palipo karibu kwao kufika na kupata huduma zile zile kwa urahisi zaidi. Lakini, imesaidia kupunguza msongamano na foleni kwa wateja wetu” alimalizia Afisa huyo Mwandamizi.

Naye Waziri Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile amesema kwenye ukurasa wake rasmi wa ‘twitter’ kuwa, “Chini ya ‘Huduma Pamoja’, huduma za BRELA, RITA, NIDA, Uhamiaji, NSSF, PSSSF na nyinginezo zitakuwa zinapatikana kwenye matawi ya Posta nchini. Tumeanza na Dar es Salaam na Dodoma na tunakusudia kueneza huduma hizi nchi nzima.”

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.