• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Jiji laishukuru Benki ya Exim msaada wa madawati

Imewekwa tarehe: July 6th, 2021

Na Noelina Kimolo, DODOMA

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imeishukuru benki ya Exim kwa msaada wa wadawati 50 yaliyotolewa na benki hiyo kama mdau wa elimu kwa lengo kuboresha miundombinu na mazingira ya kujifunzia Jijini humo.

Shukrani hizo zimetolewa na Afisa Elimu Msingi wa Halmashauri hiyo, Joseph Mabeyo kwa niaba ya Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Joseph Mafuru wakati wa hafla fupi ya makabidhiano ya madawati hayo iliyofanyika katika ofisi za Jiji hilo Julai 5, 2021.

Afisa Elimu huyo alisema kuwa madawati hayo yatasaidika katika kupunguza tatizo la upungufu wa madawati kwenye shule za msingi.

“Madawati haya tuliyopokea leo naamini yatatusaidia kupunguza changamoto ya madawati kwa kiasi kikubwa kwa wanafunzi wa shule ya msingi waliopo kata ya Hombolo Bwawani” alisema Mabeyo.

Aidha, Afisa Elimu huyo alimpongeza Mbunge wa jimbo la Dodoma Antony Mavunde kwa ushirikiano mkubwa anao uonesha kwa kutafuta wadau wengi ili kuendelea kuleta maendeleo katika sekta ya Elimu.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa benki ya Exim, Agnes Kaganda alisema kuwa benki hiyo imekuwa na utaratibu wa kutoa misaada ya madawati katika maeneo mbalimbali nchini kwa lengo la kuinua nakuboresha elimu.

“Sisi tumeamua kuwa sehemu ya upungufu huo kwa kutatua tatizo la madawati kwa wanafunzi wa shule za msingi, tupo hapa kwa ajili ya kukabidhi madawati 50 ambayo yatatumiwa na wanafunzi 200 hivyo kwa kiasi Fulani tutakuwa tumepunguza changamoto ya wanafunzi kukosa mawadawati” alisema Kaganda.

Pia, Kawanda alisisitiza ushirikiano huo uendelee ikiwa ni njia kubwa ya kuleta umoja na mshikamano katika kulijenga Taifa la Tanzania.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.