• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Jiji lajipanga kupambana na udumavu, utapiamlo mkali

Imewekwa tarehe: October 17th, 2022

Na Josephina Kayugwa, DODOMA

MGANGA Mkuu wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Dkt. Andrew Method, amewataka Maafisa Lishe kushirikiana na viongozi wa Kata pamoja na Mitaa kuendelea kutoa elimu kwa wamama wajawazito pamoja na wananchi wote kujua umuhimu wa kuwahi kliniki kwaajili ya kujua maendeleo ya kiafya pamoja na kutumia vyakula vyenye lishe ili kuondoa udumavu na utapiamulo mkali.

Dkt. Andrew ameyasema hayo katika kikao cha tathimini ya mkataba wa lishe ngazi ya Kata robo ya kwanza Julai – Septemba 2022/2023 kilichofanyika katika ukumbi wa mikutano Halmashauri ya Jiji la Dodoma. Alisema kuwa suala la lishe bora ni jambo la muhimu ambalo kila mwananchi anatakiwa kulijua kwasababu wajawazito wengi wamekuwa hawahudhurii hospitali lakini pia wengi wao hawatumii vyakula vya lishe kitu ambacho kinawaletea matatizo wakati wa kujifungua.

“Kinamama wote wanatakiwa wapatiwe elimu ya kutosha juu ya umuhimu wa lishe pamoja na kwenda kliniki wakati wote wa ujauzito ili kuondokana na haya matatizo, maana wajawazito wamekuwa wakipoteza damu nyingi au kupoteza maisha wakati wa kujifungua.

Inatakiwa kama wataalamu wa afya tuhakikishe jambo hili la kutoa elimu katika Kata na Mitaa yetu linafanikiwa kwa kiasi kikubwa maana hata kama mama atajifungua salama kama hatumii lishe basi mtoto atakuwa na utapiamulo mkali pamoja na udumavu,” alisema Method.

Kwa upande wake Afisa Lishe Jiji la Dodoma, Semeni Juma, alisema katika kupambana na tatizo la utapiamulo jijini la Dodoma linakwisha, uongozi wa Kata na mitaa kwa kushirikiana na wahudumu wa ngazi ya jamii wanatakiwa kuendelea kufanya ufuatiliaji wa watoto walioibuliwa wenye utapiamulo mkali kwenye mitaa na kuhakikisha siku ya afya na lishe inafanyika kwa kila mtaa.

“tunatakiwa kuondoa tatizo la utapiamulo mkali kwa watoto wetu kwa kuhakikisha watendaji wanasimamia vyema uwepo wa program za uzalishaji wa chakula kwa wanafunzi katika shule zote za msingi na sekondari zilizopo kwenye kata.

Pia, katika vituo vyote vya afya kuwepo namba za watendaji wa Kata ili kupata taarifa za watoto wenye utapiamulo, hii itasaidia kujua jinsi gani ya kutatua tatizo hili lakini pia chumvi ambayo inatumika inatakiwa kupimwa ili kujua kama ina madini joto ndipo itumike,” alisema Semeni.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.