• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Jiji lajipanga kutekeleza kampeni ya chanjo kwa 100%

Imewekwa tarehe: October 19th, 2019

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma inatarajia kufikia lengo la asilimia 100 ya chanjo ya kuzuia ugonjwa wa Surua Rubella na Polio kutokana na ziara ya tathmini iliyofanyika leo.

Kauli hiyo ilitolewa na mganga mkuu wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Dkt. Gatete Mahava alipofanya ziara ya kukagua hali ya zoezi la chanjo ya kitaifa inayoendelea.

Katika majumuisho ya ziara hiyo, yaliyofanyika katika kituo cha Village of Hope kilichopo jijini hapa, Dkt. Mahava alisema “Leo siku ya Jumamosi tarehe 19/10/2019 muitikio wa wananchi kupeleka watoto katika vituo vya chanjo ni mzuri na wananchi wanaendelea kuwaleta watoto kupatiwa chanjo ya Surua Rubella na Polio. Na kama tulivyoshuhudia katika vituo tulivyopita, idadi imeendelea kuongezeka ikilinganishwa na siku zilizotangulia”. Mganga huyo alionesha kuridhishwa na zoezi la chanjo katika Halmashauri hiyo. Kutokana na hamasa inayoendelea kutolewa kupitia matangazo mbalimbali na ushuhuda wa wananchi ambao watoto wao wamepatiwa chanjo, Halmashauri ya Jiji itafikia asilimia 100 ya lengo, aliongeza.

Akiongelea hali ya zoezi la chanjo ya Surua Rubella na Polio kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano, muuguzi mkunga wa kituo cha Village of Hope, Eleonilla Missanya alisema kuwa muitikio ni mzuri. “Siku ya kwanza muitikio ulikuwa kidogo lakini hamasa inavyoendelea, watu wanaendelea kuleta watoto wao kupatiwa chanjo. Siku ya kwanza tulichanja watoto 145, siku ya pili 172 na leo hadi saa 7 mchana tumechanja watoto 253” alisema Missanya.

Katika ziara ya ufuatiliaji iliyofanywa na Mganga Mkuu wa Jiji la Dodoma, vituo vinne vilitembelewa. Vituo hivyo ni Kituo cha Afya Makole, zahanati ya Makole, kituo cha NESUDA na kituo cha Village of Hope.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.