• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Jiji lakabidhiwa machine za kusaidia kupumua na kuratibu mapigo ya moyo

Imewekwa tarehe: September 15th, 2020

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imeahidi kutunza msaada wa mashine mbili zenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni saba za kuwasaidia wagonjwa kupumua na kuratibu mapigo ya moyo ili zidumu na kunufaisha wagonjwa wengi zaidi.

Kauli hiyo ilitolewa na Mganga mkuu wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Dkt. Gatete Mahava baada ya kupokea mashine mbili za kuwasaidia wagonjwa kupumua kutoka shirika la Jhpiego ofisini kwake.

Dkt. Mahava alisema “leo tumepokea mashine mbili ‘Pulse Oximeter’ na ‘Oxygen Concentrator’. Mashine hizi zinasaidia kwa watu wenye shida ya upumuaji na kuangalia mapigo yao ya moyo yanavyofanya kazi na kupima ‘concentration’ ya ‘oxyegen’ kwenye mwili wao”.

Mashine hizi zitasaidia wagonjwa wote wenye matatizo ya kupumua, aliongeza.

“Kwa niaba ya Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, tunatoa shukrani za dhati na kwa niaba ya wananchi wa Dodoma kwa uongozi wa Jhpiego makao makuu kwa kutupatia mashine hizi muhimu. Tunaahidi kuzitunza mashine hizi ili zidumu na kuhudumia wagonjwa wengi zaidi katika Jiji letu” alisema Mganga mkuu huyo.

Kwa upande wake mwakilishi wa shirika la Jhpiego, Isabella Neeso alisema “nimekuja hapa kukabidhi msaada ambao tumeona utawezesha kusaidia kuboresha huduma za afya kwa Jiji la Dodoma. Msaada huu una gharama ya zaidi ya shilingi Milioni saba na tumeupata kupitia mdau wetu ambae anaitwa EJAF. Mdau huyu ameona ni vizuri Jiji likipata mashine mbili zitakazoweza kusadia kuboresha huduma za matibabu. Tutaendelea kutoa misaada kadiri itakavyopatikana na ikibidi tutaangalia maeneo ya kuendelea kuboresha huduma” alisema Neeso.

Mwakilishi wa shirika la Jhpiego, Isabella Neeso (kushoto) akimkabidhi Mganga mkuu wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Dkt. Gatete Mahava (kulia) machine ambazo zimetolewa leo ofisini kwa Mganga Mkuu wa Jiji.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.