• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Jiji lapongezwa kutekeleza agizo la Serikali kukopesha Vijana

Imewekwa tarehe: June 4th, 2019

Halmashauri ya Jiji la Dodoma imepongezwa kwa kutekeleza agizo la kisheria la serikali la kutenga na kutoa asilimia 10 ya mapato ya ndani kwa ajili ya mikopo isiyo na riba ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu.

Pongezi hizo zilitolewa na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mwita Waitara alipofanya ziara ya kikazi katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma leo kukagua shughuli za kikundi cha vijana kiitwacho Tujikomboe pamoja na miradi mingine ya maendeleo.

Waitara alisema kuwa Halmashauri ya jiji la Dodoma inafanya vizuri katika kutekeleza agizo la kisheria la Serikali la kutenga asilimia 10 kwa ajili ya mikopo ya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu. Alisema kuwa mikopo hiyo imekuwa na manufaa makubwa kwa makundi hayo na kuyawezesha kujikwamua kiuchumi.

Akiongea na vijana wa kikundi hicho, Naibu Waziri aliwataka kufanya kazi kwa juhudi na umakini mkubwa. “Serikali haiwezi kuajiri watu wote ndiyo maana inatengeneza mazingira na miundombinu rafiki ili kila mtu aweze kuzalisha na kuchangia ujenzi wa nchi” alisema Waitara. Vilevile, aliwataka wanakikundi hao kuwa waaminifu na kuhakikisha wanarejesha kwa wakati mkopo waliokopeshwa ili vijana wengine waweze kukopeshwa. Aliwakumbusha kuwa kukopa na kurejesha kwa uaminifu na kwa wakati kunawapa sifa ya kuendelea kukopesheka na Halmashauri. Aidha, alimuelekeza Mkurugenzi wa jiji la Dodoma kusimamia kwa karibu fedha hizo zinazotolewa kwa vikundi ili kufikia malengo yaliyowekwa na serikali.

Wakati huohuo, Mkurugenzi wa jiji la Dodoma, Godwin Kunambi alisema kuwa takribani zaidi ya shilingi bilioni tatu zimetolewa kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu. Alisema kuwa fedha hizo ni zaidi ya asilimia 110 kwa mwaka wa fedha 2018/2019. Halmashauri ya jiji itaendelea kusimamia vikundi vyote vilivyokopeshwa ili viweze kufikia malengo yake na malengo mapana ya serikali, aliongeza Kunambi.

 Kikundi cha vijana Tujikomboe kilianzishwa mwaka 2015 kna kusajiliwa mwaka 2018 kikiwa na vijana watano. Kikundi kimefanikiwa kukopeshwa mkopo wa shilingi milioni 10 na Halmashauri ya Jiji la Dodoma mwishoni mwa mwezi Mei, 2019 kwa ajili ya kukiwezesha kukuza mtaji wake na shughuli za maendeleo za kikundi hicho.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.