• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Jiji latumia Bilioni 1.39 kujenga Madarasa

Imewekwa tarehe: February 22nd, 2019

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imetumia zaidi ya shilingi bilioni 1.39 kutoka mapato yake ya ndani kutekeleza mipango na uimarishaji Elimu ya Sekondari kwa lengo la kuboresha miundombinu ya kujifunzia.

Kauli hiyo ilitolewa na Mkurugenzi wa Halmshauri ya Jiji la Dodoma Godwin Kunambi alipokuwa akiongea na waandishi wa habari baada ya kutembelea na kukagua  miundombinu ya Shule za Sekondari katika jiji la Dodoma jana.

“Halmashauri ya Jiji imepeleka shilingi bilioni 1.39 kutekeleza miradi mbalimbali katika Elimu ya Sekondari kupitia mapato ya ndani kwa mwaka wa fedha 2018/2019” alisema Kunambi.

Alisema Halmashauri hiyo ilikuwa na upungufu wa vyumba vya madarasa 52, na kusababisha wanafunzi 2,610 waliofaulu kukosa madarasa.

“Ujenzi wa madarasa mapya 37 na ukarabati wa madarasa mengine utaliwezesha Jiji kuondoa tatizo la upungufu wa madarasa, na kuwawezesha wanafunzi wote waliofaulu kupata madarasa ya kutosha” alisema.

Akielezea sababu za upungufu huo, Mkurugenzi huyo alisema kuwa, umetokana na ongezeko la ufaulu mkubwa kufuatia juhudi za Serikali kutoa Elimu ya Msingi bila malipo.

“Tunamshukuru sana Rais wa Awamu ya Tano, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kwa kutoa Elimu bila malipo…ongezeko la ufaulu ni juhudi kubwa za Mhe. Rais na katika kuhakikisha tunaunga mkono juhudi hizo, sisi tumepeleka kiasi hicho cha Fedha kutoka mapato ya ndani kwenye sekta ya elimu.

Akiongelea ujenzi wa maabara za masomo ya Sayansi, Kunambi alisema ujenzi wa maabara 15 za masomo ya Sayansi zinakwenda kwa kasi.

“Maabara hizi lazima zijengwe kwa ubora unaoendana na hadhi ya Jiji la Dodoma na lengo ni kuhakikisha Shule zote  zinakuwa na maabara za kisasa zenye vifaa ili kuwawezesha wanafunzi kujifunza kwa vitendo” aliongeza.

Kunambi alifanya ziara ya kutembelea na kukagua miundombinu ya ujenzi wa madarasa na maabara katika shule za sekondari Miyuji, Umonga na Dodoma, ambapo aliambatana na Mchumi na Ofisa Elimu wa Idara ya Sekondari.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.