• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Jiji lazikaribisha Halmashauri kuwekeza, Temeke waikubali Dodoma

Imewekwa tarehe: September 26th, 2022

Na Josephina Kayugwa, DODOMA

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imetoa fursa kwa kuwakaribisha wawekezaji na Halmashauri nyingine kuwekeza katika ardhi ya Dodoma kwa lengo la kujiongezea mapato na kukuza uchumi, kwa sababu Halmashauri ya Jiji la Dodoma ina vitega uchumi na sehemu nyingi ambazo zinaongeza mapato na kuleta maendeleo.

Hayo yalisemwa leo na Mchumi wa Jiji, Amani Ng’oma, alipokuwa katika ziara iliyofanywa na madiwani kutoka Manispaa ya Temeke ambao walifanya ziara kwa nia ya kujifunza na kuona miradi mbalimbali inayotekelezwa na Halmashauri ya Jiji la Dodoma kupitia mapato ya ndani na Serikali kuu.

“Jiji la Dodoma lina ardhi ambayo inaweza kuruhusu hata wawekezaji kutoka Halmashauri nyingine kuwekeza na kufanya miradi mikubwa ya kimaendeleo, miradi ambayo itawafanya kuongeza mapato kwao na kwa Jiji la Dodoma.

Uwekezaji unaofanywa na Jiji la Dodoma ni mkubwa na unahamasa kwa wengine ambao wanakuja kujifunza kwetu kwa sababu miradi ambayo inatekelezwa asilimia kubwa inatumia mapato ya ndani kwa hiyo hata Wilaya nyingine zinaruhusiwa kuja kufanya uwekezaji hapa Dodoma ili tusaidiane kuinua uchumi wetu wa Nchi,” alisema Ng’oma.

Kwa upande wake Naibu Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke Anuary Peter amesema malengo ya ziara katika Jiji la Dodoma yamekamilika kwa sababu wamepata kujifunza mengi na kuona jinsi gani Jiji la Dodoma limeweza kufanikisha miradi yenye  tija ambayo inawaongezea mapato.

“Miradi yote tuliyoitembelea ni mizuri na imetekelezwa kwa ufanisi mkubwa nasi tumejifunza mengi na mazuri kwa hiyo tutaenda kuyafanyia kazi yote tuliyojifunza na kuyapata ili tuweze kuwa kama Dodoma kimaendeleo.

Nitoe pongezi kwa Uongozi wa Jiji la Dodoma kwa kufanya utekelezaji mkubwa wa miradi, kiukweli mimi nimejifunza mengi ikiwemo mradi wa Soko la wazi la Machinga kwa sababu mpangilio na utaratibu uliofanyika katika kuwasajili na kuwapanga wafanyabiashara ni mzuri,” alisema Peter.

Miradi yote inayotekelezwa na Halmashauuri ya Jiji la Dodoma inatumia mapato ya ndani, miradi hiyo ni kama Soko la wazi la Machinga, “Dodoma City Hotel”, Kituo cha Maegesho ya Malori - Nala na Jengo la kitega uchumi - Mtumba, miradi hii itasaidia katika kuinua uchumi wa Jiji la Dodoma na kuzalisha ajira kwa wakazi wake.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.