• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Jiji lazindua kazi ya postikodi, DC ataka uzalendo

Imewekwa tarehe: March 1st, 2022

MKUU wa wilaya ya Dodoma Jabir Shekimweri ameitaka Halmashauri ya Jiji la Dodoma kutoa semina elekezi na kuwapatia mafunzo kwa vitendo, vijana watakao wapa ajira ya muda kwenye mradi wa utekelezaji wa uwekaji wa anwani za makazi utakaofanyika katika mitaa 222 ya kata 41 za Jiji hilo ili waweze kufanya kazi hiyo kwa uadilifu, uaminifu na uzalendo.

Shekimweri ametoa agizo hilo alipokuwa akizungumza na wakazi wa Kata ya Ipagala mtaa wa Swaswa Ng’ambo Jiji la Dodoma kwenye uzinduzi wa utekelezaji wa mfumo wa uwekaji wa anwani za makazi uliofanyika kwa ngazi ya wilaya katika eneo hilo.

Alisema halmashauri ya jiji inatakiwa kutoa semina elekezi pamoja na mafunzo kwa ya vitendo kwenye maeneo ya mradi huo wa uwekaji wa anwani na makazi ili vijana watakaoajiriwa waweze kujifunza na kuifanya kazi hiyo kwa umakini mkubwa, uaminifu na uzalendo zaidi.

Pia, Mkuu huyo wa wilaya ametoa angalizo kwa Halmashauri ya Jiji la Dodoma na kuwataka kuhakikisha vijana watakaoajiriwa kwa ajili ya kazi hiyo muda ya utekelezaji wa uwekaji wa mfumo wa anwani za makazi na postikodi miongoni mwao wawe wanaotoka eneo wanaloishi.

“Mimi kama mkuu wa wilaya ya Dodoma nitashangaa sana ikiwa halmashauri itaajiri vijana wa kutoka nje ya mikoa na kata na mitaa husika, hivyo nitoe angalizo kuhakikisha watakaowaajiri wawe wanatoka maeneo wanayoishi na siyo vinginevyo” alisisitiza.

Katika hatua nyingine Shekimweri ametoa wito kwa vijana watakaopata ajira hiyo ya muda kuhakikisha wanaifanya kazi hiyo kwa uzalendo uadilifu mkubwa na uaminifu ili waweze kukamilisha kwa zoezi hilo kwa wakati.

Naye Mratibu wa mfumo wa uwekaji za anwani za makazi Jiji la Dodoma Joseph Nkuba alisema kuwa utekelezaji wa mradi huu mkubwa ni muhimu sana wa mfumo wa anwani za makazi kwa kuwa ni maelekezo na maagizo ya Rais Samia Suluhu Hassan na kwamba una faida nyingi ikiwemo kurahisisha utoaji huduma pamoja na masuala ya usalama wa wananchi.

“Halmashauri hii ya Jiji la Dodoma mradi ulianza rasmi Desemba 15, 2021 kwa kutambua mipaka ya mitaa ya kiutawala ambapo mpaka sasa tumeitambua mipaka 153 kati ya mitaa 222 na mitaa 69 bado haijatambuliwa mipaka yake na zoezi linalofuatia ni kutambua namba za nyumba na kuchukua taarifa za wakazi na kuzisajili kwenye mfumo” alisema.

Nkuba akizungumza kwenye uzinduzi huo alibainisha kuwa, zoezi hili siyo jipya bali ni mwendelezo kwa kuwa tayari mitaa nane ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma ilishawekewa anwani za makazi, na kwamba tofauti ni kuwa kwa sasa itawekwa kwenye mfumo maalum wa kutumia simu janja.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.