• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Jilinde na kuwalinda wengine dhidi ya kichaa cha mbwa - Mh. Nyambuya

Imewekwa tarehe: September 28th, 2022

Na Josephina Kayugwa, Dodoma

DIWANI wa kata ya Mpunguzi Jijini Dodoma Mh. Innocent Nyambuya amesema Wananchi wote wa Dodoma wanatakiwa kujilinda na kuwalinda wengine kwa kutoa elimu na kukumbusha jinsi tutakavyoweza kujilinda dhidi ya ugonjwa wa kichaa cha Mbwa.

Alitoa kauli hiyo  leo tarehe 28 Septemba, 2022 katika maadhimisho ya siku ya kichaa cha Mbwa Duniani  ambapo kitaifa yamefanyika katika Kata ya Mpunguzi Jijini Dodoma na kauli mbiu isemayo "Kichaa cha Mbwa, vifo sifuri".

"Wakazi wote wa Mpunguzi mnatakiwa kuwapatia chanjo wanyama wenu ili tuweze kujilinda na ugonjwa huu wa kichaa cha Mbwa ambao hauna tiba na njia pekee ya kujilinda ni kuchanja wanyama wote wenye uwezo wa kueneza ugonjwa huu hasa paka na Mbwa.

"Na kila mtu ambaye anafuga mfugo wa aina yoyote anatakiwa kumuweka mahali salama ili asizurure hivyo na kuleta madhara kwa binadamu na wanyama wengine kwasababu jukumu na kulindana ni letu sote," alisema Nyambuya.

Kwa upande wake Nasoni Kenesi, mkazi wa kaya ya Mpunguzi ameishukuru Serikali kwa kuwapa elimu juu ya umuhimu wa kuchanja mifugo hasa Mbwa na Paka ambao wana uwezo mkubwa wa kueneza ugonjwa wa kichaa cha Mbwa.

"Kiukweli elimu hii itatusaidia na tutajilinda sote dhidi ya ugonjwa huu kwa sababu umekuwa ukituletea madhara makubwa sana, kwa hiyo wananchi wote wapeleke mifugo yao ikapatiwe chanjo ya kichaa cha Mbwa.

"Kama sheria ipo itumike au kuwepo na adhabu kwa mtu ambaye atakuwa hajamchanja mnyama wake, na mifugo yote inayozurura hivyo tunaomba Serikali itusaidie jinsi gani ya kuipunguza maana imekuwa ikileta madhara,"alisema Keseni.

Kila Mwaka maadhimisho ya kichaa cha Mbwa hufanyika tarehe 28 Septemba, 2022 na maadhimisho haya yalianza tarehe 26 Septemba na kazi za udhibiti wa kichaa cha mbwa kwa mfumo wa kampeni zitaendelea mpaka tarehe 02 Oktoba, 2022.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.