• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

JPM aweka jiwe la msingi jengo la Uhamiaji, Jiji latakiwa kusimamia mipango miji

Imewekwa tarehe: November 26th, 2019

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Magufuli amewataka viongozi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma kusimamia ujenzi na upangaji wa Jiji ili kulinda hadhi ya Makao Makuu ya Nchi.

Agizo hilo amelitoa jana katika hotuba yake kabla ya kuweka jiwe la msingi jengo la makao makuu ya Idara ya Uhamiaji jijini hapa.

Dkt. Magufuli alisema “viongozi wa Dodoma endeleeni kusimamia vizuri ujenzi na upangaji wa Jiji la Dodoma”. Jiji la Dodoma ndilo Makao Makuu ya nchi, linatakiwa kupangwa vizuri ili liwe na hadhi ya makao makuu. Aidha, aliwataka viongozi hao kuwahimiza wananchi kupanda miti katika maeneo mbalimbali ili kutunza mazingira“. Dodoma ya kijani inawezekana” alisema Rais.

Rais aliipongeza Idara Uhamiaji kwa kazi nzuri. “Napenda kuipongeza Idara ya Uhamiaji kwa kazi nzuri na kupunguza kwa kiasi kikubwa nchi yetu kuwa kichochoro cha wahamiaji haramu”. Madhumuni na malengo makuu ya serikali kuhamishia makao makuu Dodoma ni kurahisisha utoaji wa huduma kwa wananchi, miongoni mwa huduma ni zile zinazotolewa na Idara ya Uhamiaji, alisema. Aidha, alimtaka Kamishna Jenerali wa Uhamiaji kuendelea kuwafuatilia watendaji wa Idara hiyo ambao wamekuwa wakitengeneza viza bandia na kuikosesha Serikali fedha ambazo zingeweza kutekeleza majukumu mengine.

Dkt. Anna nikuombe muendelee kufuatilia watendaji ambao wamekuwa wakitengeneza viza bandia na kuikosesha serikali fedha ambazo zingeweza kutekeleza majukumu mengine.

Vilevile, alitoa wito mkandarasi anayejenga jengo hilo, kampuni ya Suma JKT kukamilisha mradi huo kwa wakati. “Hakikisheni mnakamilisha ujenzi wa jengo hili, ikiwezekana hata kabla ya muda wenu kumalizika” alisema Rais Dkt. Magufuli.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.