• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

JPM kujenga ujwanja mkubwa wa michezo jijini Dodoma

Imewekwa tarehe: August 29th, 2020

Mgombea uras kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, Dkt. John Magufuli kujenga uwanja mkubwa wa michezo Dodoma utakaoweza kubeba wananchi wengi zaidi kwa wakati mmoja.
Dkt. Magufuli ametoa kauli hiyo katika hotuba yake ya uzinduzi wa kampeni ya kuwania urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma leo.
“Leo Dodoma imefurika, uwanja wa Jamhuri umejaa, lakini hata kule nje nako kumejaa. Hii inanipa changamoto kuwa nitakapochaguliwa kuwa Rais ni lazima nijenge uwanja mkubwa kuliko uliopo na hii itakuwa ndiyo kazi yangu ya kwanza. Dodoma ni Jiji, na leo mmefunga kazi, asanteni sana wana Dodoma. Hii inadhihirisha wazi kuwa hapa ni makao makuu ya nchi” alisema Dkt. Magufuli.
Aidha, Mhe. Magufuli alitaza ahadi zingine kuwa “Tumepanga kuongeza idadi ya watalii hadi kufikia Mil 5 2025, na mapato kutoka Dola Bil 2.6 hadi Dola Bil 6, tutapanua wigo wa vivutio vya Utalii, ikiwemo kukuza Utalii wa mikutano na uwindaji wa Wanyamapori na kuimarisha utalii wa fukwe,
Katika Awamu ya Pili tutahakiksha tunanunua Ndege zingine Tano, Moja ikiwa ya mizigo ambayo itakuwa ikienda moja kwa moja Ulaya,
Tutatengeneza nguo hapa Tanzania ili tuzivae wao tuwapelekee mitumba, tutatenga fedha za kuziandaa Timu zetu za Taifa,tutaweka mikakati ya kuwasaidia Wasanii ikiwemo kuwapa mikopo, hii michezo na sanaa tutavibeba, tutazidi kudhibiti rushwa na ufisadi,
Wataalamu wetu ambao wanaweza kutibu kienyeji watatambuliwa badala ya kupuuzwa,...,
Mliotutuma miaka 5 iliyopita tumeyafanya vizuri, tupeni tena miaka 5 mingine, tuendelee kuwa wamoja mambo mazuri makubwa yanakuja, tutaendelea kusimamia amani, umoja na mshikamano,tutaulinda Muungano na Mapinduzi ya Zanzibar, tutakuza uchumi, tutapunguza riba kwenye Mabenki” alisema Dkt. John Pombe Magufuli.
Aidha, aliwataka watanzania kuendelea kumuomba Mungu ili azidi kuliongoza na kulisimamia Taifa la Tanzania liendelee kuwa na amani na umoja katika kipindi cha uchaguzi mkuu na baada ya uchaguzi mkuu.
Akimkaribisha mgombea urais kwa tiketi ya CCM, mgombea mwenza wa chama hicho, Mama Samia Suluhu Hassan, alisema kuwa serikali chini ya CCM imetekeleza kwa kishindo Ilani ya uchaguzi ya chama hicho. “Ndugu wananchi niseme, katika kipindi cha miaka mitano iliyopita tumeweza kutekeleza kwa kishindo na tumeweza…Twende tukasonge mbele katika kampeni kwa heshima na kuomba kura kwa wananchi. Tukafanye kampeni kwa amani na kupiga kura kwa kishindo, tupate maeneldeleo ya kisiasa, kiuchumi na kijamii” alisema Mama Samia.
Chama cha Mapinduzi kimezindua kampeni kuelekea uchaguzi mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani katika uwanja wa Jamhuri jijini hap ana zitaendelea nchi nzima kwa takribani miezi miwili.

Maelfu ya wakazi wa Jiji la Dodoma waliofurika kushuhudia uzinduzi wa kampeni za mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi Jijini Dodoma leo.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.