• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

JPM kuzindua mradi mkubwa wa kufua umeme wa maji Mto Rufiji

Imewekwa tarehe: July 23rd, 2019

Yaliyojiri wakati wa mahojiano ya Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi, na Kaimu Meneja Mawasiliano wa TANESCO, Leila Muhaji, kwenye vituo vya radio Imaan na Abood, Morogoro kuhusu maandalizi ya uzinduzi wa ujenzi wa mradi wa umeme Rufiji.

#Kwanza kabisa tunawahakikishia  Watanzania popote walipo kwamba Serikali yao ipo kazini katika kila nyanja;

#Kubwa kuliko yote wiki hii ni ya kihistoria, tunakwenda kuzindua rasmi ujenzi wa  Mradi wa Kufua Umeme wa Maji wa Mto Rufiji;

#Tunakwenda kuzindua rasmi safari ya miaka mitatu ya ujenzi huo ikiwa ni baada ya miaka 39 ya kushindwa kuutekeleza mradi kufuatia utafiti wa awali wakati wa Serikali ya Awamu ya Kwanza kuonesha gharama zilikuwa kubwa sana;

#Mradi huu ilikuwa ndoto ya Baba wa Taifa pamoja na ndoto nyingine ikiwemo ile ya Makao Makuu kuhamia Dodoma na ujenzi wa Daraja la Sibiti, kwa hiyo mengine tumeyatimiza, mradi huu nao tunatekeleza ndoto za Baba wa Taifa;

#Mradi huu wa Megawati 2,115 utaondoa matatizo ya uhakika wa nishati ya umeme ambao utakuwa ni kichocheo cha Tanzania ya Viwanda;

#Huu mradi kwa faida zake kwa nchi ilikuwa lazima siku moja utekelezwe, hata kama Awamu zote na hii ya sasa zisingeutekeleza ipo siku bado ungetekelezwa tu;

#Mradi huu licha ya faida zake kwa uchuni wa viwanda pia utasaidia kupunguza gharama za umeme kwa sababu uzalishaji wa umeme wa maji ni rahisi kuliko vyanzo vingine vyote;
Kwa mfano,  wakati Unit 1 ya umeme wa maji ni shilingi 36; Uniti 1 ya Umeme wa Joto ardhi ni Shilingi 147, Uniti 1 ya umeme wa Mafuta ni Shilingi 546, Uniti 1 ya Umeme wa Makaa ya mawe ni Shilingi 118, Umeme wa Upepo ni Shilingi 103 kwa Uniti 1 na umeme wa jua ni Shilingi 103.5 kwa Uniti 1;

#Kuhusu madai kwamba kuna athari za mazingira, ifahamike kuwa hakuna mradi duniani usiogusa mazingira, kila mradi uliotekelezwa hata Ulaya na kwingineko umegusa mazingira, hoja kubwa ni kuhakikisha athari za mazingira haziwi kubwa au hazizidi faida ya mradi husika kuwepo;

#Katika mradi huu hakuna athari zinazozidi manufaa ya mradi kwa nchi na watu wake, lakini pia wanaozungumzia uhifadhi wajue Mbuga ya Selous ina ukubwa wa kilometa za mraba 50,000 na eneo litakalotumika kwa ajili ya mradi na mambo yote ya mradi ikiwemo bwawa havitazidi asilimia 4 ya eneo lote la Selous kwa hiyo uhifadhi wa wanyama na miti utaendelea kuwepo;

#Kwa hiyo wanaoupinga mradi huu tuwasamehe tu, lakini tujue kwamba wapingaji walikuwepo tangu enzi za manabii na hata tusingeutekeleza mradi huu wapo ambao wangehoji kwa nini hatujauanza?

#Serikali inaendelea pia kuhakikisha maandalizi muhimu ya mradi yamekamilika ikiwemo kuingiza megawati 30 za umeme unaohitajika kusaidia mradi kutekelezwa;

#Taasisi mbalimbali za Serikali ikiwemo Tanesco yenyewe zimeshiriki katika maandalizi ya mradi na sasa mkandarasi amekabidhiwa na anaanza kazi;

#Mradi huu ipo siku wanaopinga wataelewa faida zake; bahati nzuri wanaopinga ndio hao hao siku ukikamilisha jambo wanakuwa mbele kunufaika. Kuna mtu alipinga sana ndege, mara anasema sio mpya mara nini, siku moja tukamuona amepanda ndege hizo hizo, kwa hiyo ndio maisha.

Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi (kulia) akitoa ufafanuzi juu ya maandalizi ya uzinduzi wa Mradi mkubwa ujenzi wa mradi wa kufua umeme wa maji kwenye Mto Rufiji. Kushoto kwake ni Kaimu Meneja Mawasiliano wa TANESCO, Leila Muhaji.

Kaimu Meneja Mawasiliano wa TANESCO, Leila Muhaji akifafanua jambo wakati akitoa ufafanuzi wa ushiriki wa TANESCO kwenye maandalizi ya Uzinduzi wa Mradi wa Ujenzi wa Mradi wa kufua umeme wa maji kwenye Mto Rufiji.

Chanzo: Idara ya Habari - MAELEZO


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.