• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

JPM Mwenyekiti mpya SADC

Imewekwa tarehe: August 17th, 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo amekabidhiwa kijiti cha Uenyekiti wa SADC kutoka kwa aliekuwa Mwenyekiti wa jumuiya hiyo Raisi Dkt. Hage Geingob wa Namibia katika Mkutano wa 39 wa Jumuiya hiyo ulioanza leo Jijini Dar Es Salaam.

Baada ya kupokea kijiti hicho, Rais Dkt. Magufuli amesisitiza mambo yafuatayo:

Ushirikiano - Amezitaka nchi mwanachama kushirikiana katika sekta zote ili kuhakikisha kuwa muungano huu wa SADC unawanufaisha wananchi wote wa nchi mwanachama ili kujiletea maendeleo.

Biashara - Amesisitiza kuwa ni vema nchi mwanachama zikashirikiana katika kununua na kuuziana bidhaa zinazopatikana ndani ya nchi za Jumuiya ya SADC ili kuimarisha uchumi wa mataifa mwanachama wa SADC.

Lugha ya Kiswahili - Amesisitiza matumizi ya Kiswahili ili kuwa na muungano shupavu utakaosaidia nchi mwanachama wa SADC kujitegemea kwa kila kitu ili kutoka kwenye utegemezi.

Rasilimali - Asema kwa upande wake ameona kuwa bado rasilimali za SADC hazijaisaidia Jumuiya hiyo kuwakomboa watu wake kiuchumi,asisitiza kuwa ni vema sasa jumuiya ikatumia rasilimali zake kuwaletea wananchi maendeleo.

Uwajibikaji - Asisitiza viongozi na wananchi kufanya kazi kwa bidii ili kuletea mataifa yao maendeleo. Kila mtu awajibike kwa nafasi yake ili kuikomboa kiuchumi jumuiya hii.

Pia amesema atahakikisha kuwa anaitendea haki jumuiya hii kwa kuhakikisha kuwa anashawishi matumizi mazuri ya rasilimali za SADC katika kuwaletea watu maendeleo.

Viongozi wa Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika - SADC wakiwa katika picha ya pamoja kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere jijini Dar Es Salaam.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.