• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

JSI yakabidhi vifaa Ustawi wa Jamii

Imewekwa tarehe: March 3rd, 2020

MKURUGENZI wa kampuni ya John Snow Inc (J S I), Anthony Mwendamaka amekabidhi vifaa vya kuhifadhia taarifa za kitengo cha ustawi wa jamii katika Jiji la Dodoma ikiwa na lengo la kuimarisha mfumo wa utoaji huduma za afya ya jamii na ustawi wa jamii jijini humo.

Makabidhiano hayo yamefanyika katika ofisi za Jiji la Dodoma ambapo mwakilishi wa Mkurugenzi wa Jiji Dkt. Joseph Mdachi alipokea vifaa hivyo ikiwemo makabati 17 na fomu za kuhifadhia taarifa za walengwa ambao ni watoto wanaoishi katika mazingira hatarishi.

Mwendamaka alikabidhi vifaa hivyo vitakavyogawanywa katika kata15 za Jiji la Dodoma ili kusaidia utunzaji wa kumbukumbu na taarifa za ustawi kuanzia ngazi ya mtaa na Kata.

“Sisi kama kampuni ya John Snow Inc (J S I) tunahusika na research and Training tumekadhi vifaa yakiwemo makabati 17 fomu za kuhifadhia kumbukumbu za taarifa zitakazo kwenda katika kata 15 za hapa halmashauri ya Jiji la Dodoma”, Alisema Mwendamaka.

Alisema lengo la kuisadia Halmashauri ni kuimarisha mfumo wa utoaji huduma za afya  na ustawi wa jamii kuanzia ngazi ya Kata hadi Wilaya ambapo  taarifa za walengwa wanaopewa huduma za afya na ustawi wa jamii zinapaswa kuhifadhiwa sehemu salama.

Upande wake Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Dkt. Joseph Mdachi aliipongeza taasisi hiyo  kwa msaada wa vifaa hivyo na kutoa wito  kwa wadau wengine wa sekta ya afya na ustawi wa jamii

kuendelea kuisadiana na Serikali kuimarisha mifumo wa utoaji wa huduma hizo kuanzia ngazi ya Mtaa, Kata na Wilaya kiujumla.

“Kwa niaba ya Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Godwin Kunambi, napenda kuwashukuru na kuwapongeza wadau hawa wa afya na ustawi wa jamii hapa Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwani wamekuwa wakitoa mchango mkubwa katika kuhakikisha wanashirikiana na Serikali kuboresha huduma za afya na ustawi wa jamii kwenye Halmashauri yetu”, alisema Mdachi.

Makabidhiano hayo yalishuhudiwa na maafisa ustawi wa jamii ngazi ya Wilaya akiwemo mkuu wa kitengo hicho Halmashauri ya Jiji la Dodoma Rebeca Ndaki.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.