• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Kamati ya Bunge yaipongeza Serikali, Makao ya Taifa ya Watoto Kikombo Dodoma

Imewekwa tarehe: August 26th, 2021

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii imeipongeza Serikali kwa jitihada zake za kupambana changamoto ya watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu nchini, ikiwemo usimamizi wa makao ya Taifa ya watoto Kikombo, Jijini Dodoma.

Akizungumza wakati wa ziara ya Kamati hiyo kwenye makao hayo, Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Huduma na Maendeleo ya Jamii Mhe. Stanslaus Nyongo amesema Wizara imefanya jambo kubwa ambalo litasaidia watoto wanaoishi katika mazingira magumu.

Mhe. Nyongo ameongeza kuwa Watoto wanaoishi na kufanya kazi mtaani imekuwa ni changamoto kubwa hivyo ameitaka Wizara kuhakiksha inawasaidia watoto hao ili waweze kupata elimu na stadi mbalimbali zitakazowasaidia katika maisha yao.

Aidha ameitaka Wizara kuweka mazingira wezeshi hasa kwa watumishi wa Makao hayo kwani wamejitoa katika kuhakikisha watoto wanapata malezi na makuzi bora.

Pia Mhe. Nyongo amelipongeza Shirika la ABBOTT Tanzania kwa kuona suala la watoto waishio katika mazingira magumu ni muhimu na kuweka fedha kiasi cha shillingi bilioni 2 katika kuhakikisha watoto hao wanakuwa na mazingira mazuri ya kupata malezi na mafunzo mbalimbali.

Mbali na hayo, amempongeza Mhe. Waziri wa Afya, Dkt. Gwajima kwa jitihada za uelimishaji na uhamasishaji kwa jamii juu ya umuhimu wa kuchanja na kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya UVIKO-19 ikiwa ni jitihada za Serikali katika kujenga Jamii yenye afya njema ili kukuza uchumi.

Vile vile, Mhe. Nyongo amemtia moyo Dkt. Gwajima na kumtaka kuendelea kuchapa kazi na kumwahidi Bunge kupitia kamati ya kudumu ya Bunge huduma na Maendeleo ya Jamii itaendelea kumpa ushirikiano katika kuboresha Sekta ya Afya nchini.

Kwa upande wake Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameihakikishia Kamati hiyo kuwa Wizara itasimamia Makao hayo ya watoto ili yaweze kutoa huduma iliyokusudiwa kwa Watoto waliokusudiwa katika Makao hayo.

Waziri Dkt. Gwajima ameongeza kuwa, Serikali imepokea ushauri uliotolewa na kamati hiyo na kuahidi kutekeleza hoja zote zilizotolewa ili kuboresha huduma kwa watoto wanaoishi katika makao hayo na mengine yote nchini, ikiwemo huduma za kiroho, na michezo.


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.