• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Kamati ya Bunge yapongeza mradi Soko la Machinga Dodoma

Imewekwa tarehe: June 9th, 2022

Na.Theresia Francis, Dodoma

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti imepongeza mradi wa Soko la wazi la Machinga, ambao ni matokeo ya utekelezaji wa agizo la Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan la kuhakikisha yanatengwa maeneo maalumu kwaajili ya wafanyabiashara wa biashara ndogondogo maarufu kama Machinga.

Kamati hiyo ikiongozwa na Mwenyekiti wake, Mhe. Daniel Sillo imetoa pongezi hizo wakati wa zoezi la kukagua mradi huo unaoendelea mkoani Dodoma uliopo eneo la Bahi Road kuanzia mzunguko wa barabara ya kwenda Singida hadi mzunguko wa barabara ya Airport.

“Kwa niaba ya Kamati ya Bunge ya Bajeti, nichukue nafasi hii kwanza kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa maono yake makubwa, ila pia kumpongeza Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na timu yake nzima ya Mkoa wa Dodoma kwa kazi mnayoifanya, sisi kama kamati tunaosimamia mapato ya Nchi tunawapongeza sana” alisema Sillo.

Kwa upande mwingine Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma Joseph Mafuru, alisema soko likikamilika litakuwa na uwezo wa kuchukua wafanyabiashara wadogowadogo zaidi ya 2,938 sawa na asilimia 99 ya wafanyabiashara waliohakikiwa ambao ni 3,013.

“Ikifika Tarehe 1 Julai Machinga wote watakua kwenye Soko la Wazi la Machinga, tukikukosa huku tukukute kwenye D Center na sio tena kwenye maeneo ambayo hayajaruhusiwa” alisema Mafuru.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mhe. Jabir Shekimweri, alisema mradi huu utakua na manufaa kwa jamii, kutakua na jengo la utawala na ukumbi wa mikutano kwa ajili ya kutoa elimu ya masuala mbalimbali kama vile kodi, ulinzi na usalama, uraia, ujasiriamali na kadharika. Pia kutakua na huduma za awali za matibabu (Huduma ya kwanza).

“Mradi huu umezingatia mahitaji halisia ya kila siku ya machinga, miongoni mwao ni wakina mama, hapa kuna chumba mahsusi cha kina mama wenye watoto wadogo, maalumu kwa ajili ya kuwanyonyesha Watoto na kupumzika, vile vile watu wenye ulemavu miundombinu imewazingatia” alisema Shekimweri.

Aidha kamati hiyo imeshauri ili kuongeza mapato na kupanua wigo wa walipa kodi wafanyabiashara wadogowadogo na wakati warasimishwe ili taasisi mbalimbali za kifedha ziweze kuwakopesha.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.