• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Kamati ya Fedha na Utawala yaridhishwa na kazi ya ujenzi Bihawana sekondari

Imewekwa tarehe: January 24th, 2023

Na. Dennis Gondwe, DODOMA

KAMATI ya Fedha na Utawala ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma imeridhishwa na kazi ya usimamizi wa ujenzi wa mabweni na madarasa ya shule ya sekondari Bihawana.

Mwenyekiti wa Kamati Fedha na Utawala iliofanya ziara ya kutembelea na kukagua miradi kwa kipindi cha robo ya pili ya mwaka wa fedha 2022/2023 Daud Mkhandi alisema kuwa usimamizi ni mzuri.

“Kwa niaba ya wajumbe wa Kamati ya Fedha na Utawala, nitoe pongezi kwa kazi nzuri ya usimamizi wa ujenzi wa mabweni na madarasa katika shule hii. Lakini pia tulipokuja mara ya mwisho kutembelea shule hii tuliagiza mazingira kuboreshwa ikiwa ni pamoja na kupanda miti na maua. Leo naona mazingira yameboreshwa” alisema Mkhandi.

Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa mradi huo, Mkuu wa shule ya sekondari Bihawana, Liberatus Ntilema alisema kuwa shule yake ilipokea fedha za Mradi wa uboreshaji wa elimu ya sekondari (SEQUIP). “Tarehe 24 Mei, 2022 tulipokea fedha shilingi 240,000,000 zilizoelekezwa katika ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa na mabweni mawili yenye uwezo wa kubeba wanafunzi 80 kila mmoja. Fedha hizo zilitolewa na Ofisi ya Rais -TAMISEMI. Shilingi 40,000,000 zilielekezwa kujenga vyumba viwili vya madarasa na shilingi 200,000,000 zilielekezwa katika ujenzi wa mabweni mawili” alisema Ntilema.

Alisema kuwa vyumba viwili vya madarasa vimekamilika na mabweni mawili yamepauliwa. “Kazi zote zilifanywa kwa kufuata maelekezo ya wataalam wa ujenzi na ushauri wa viongozi waliokuwa wakitembelea kuona maendeleo ya mradi” aliongeza Ntilema.

Mradi huo unalenga kuboresha mazingira ya shule za sekondari kwa kuziongezea uwezo wa kudahili wanafunzi wengi zaidi ili kuongeza fursa ya wanafunzi wote walioachaguliwa kujiunga kidato cha tano kupata nafasi ya kuendelea na masomo ya juu ya elimu ya sekondari.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.