• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Kamati ya Fedha yapongeza ujenzi miradi ya elimu Jiji la Dodoma

Imewekwa tarehe: October 13th, 2021

Na. Dennis Gondwe, DODOMA

Kamati ya Fedha na Utawala ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma imepongeza kazi ya ujenzi wa miradi ya maendeleo ya sekta ya elimu inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali.

Pongezi hizo zilitolewa na kiongozi wa timu namba moja ya wajumbe wa Kamati ya Fedha na Utawala ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Mhe. Jaffar Mwanyemba alipokuwa akiongelea ziara iliyofanyika ya kutembelea na kukagua miradi ya maendeleo.

Mhe. Mwanyemba alisema kuwa kazi zilizofanyika za utekelezaji wa miradi ni nzuri. “Miradi ya ujenzi wa madawati katika shule imetekelezwa vizuri. Tunatakiwa tubadilike, tuwe tunafanya mikutano na wale tunaowapa fedha. Lazima tuwe na maneno makali kidogo kama itatokea kitu ambacho utatofautiana na mwenzako utatiliwa mashaka. Tunaweza kuwashusha vyeo vyao. Hivyo, wengine wataogopa kuwa ukitumia vibaya fedha hizi utakosa cheo jambo litakalowafanya watu kuwa makini kwenye kufanya kazi zao vizuri” alisema Mhe. Mwanyemba.

Kwa upande wake Afisa Elimu Vifaa na Takwimu wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Fredrick Mwakisambwe alisema kuwa Kamati ya Fedha na Utawala ilitembelea shule mbili za sekondari ya Mlimwa na Dodoma. “Miradi inaendelea vizuri. Kwa upande wa shule ya Mlimwa sekondari, mradi wa vyumba vitatu vya madarasa umekamilika. Kwa upande wa Dodoma sekondari ni ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa vyenye ofisi katikati” alisema Mwalimu Mwakisambwe.

Alisema kuwa fedha ya EP4R shilingi milioni 40 ilitolewa kutekeleza mradi huo. “Tumepokea maoni mbalimbali kutoka kwa wajumbe na maelekezo yaliyotolewa tunaenda kuyafanyia kazi. Kipekee tumshukuru sana mheshimiwa Rais, pamoja na serikali yake kwa ujumla kwa maana ya Ofisi ya Rais, TAMISEMI, pia Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Dodoma, Wakuu wa shule na watendaji ambao kimsingi tunashirikiana kuhakikisha miradi inafanyika na kukamilika kwa wakati na inafanyika kwa ubora wa hali ya juu ili taaluma ya nchi yetu iweze kuwa bora na kuimarika zaidi” alisema Mwalimu Mwakisambwe.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.