• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Kamati ya Siasa Wilaya yaanza ziara kutembelea miradi ya maendeleo Jijini

Imewekwa tarehe: September 17th, 2019

Kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi Wilaya ya Dodoma mjini imefanya ziara ya kutembelea miradi  ya maendeleo inayojengwa  jijini hapa.  

Ziara hiyo imeanza leo katika mradi wa ujenzi wa kituo cha mabasi cha mkoa kilichopo Nzuguni ambapo kamati hiyo ilipata maelezo juu ya hatua za ujenzi wa kituo hicho na kiwango ambacho ujenzi huo umefikia.

Aidha, kamati ya Siasa na Wilaya imetembelea mradi wa ujenzi wa Soko Kuu la Jiji eneo la Nzuguni, ambapo msafara wa kamati ya siasa ikiongozwa na Mwenyekiti  wa Chama Cha Mapinduzi Wilaya Robert Mwinje walikuwa makini kwelikweli kusikiliza jinsi mradi huo utakavyokuwa na manufaa kwa wananchi pindi utakapokamilika mwezi Disemba 2019.  

Kisha, msafara ulielekea eneo la Chinangari kutembelea mradi Eneo la kupumzikia (Recreational Pack) mradi huo utakupunguza msongamano mjini katika maeneo ya wazi kama Nyerere square. Mradi huo utakuwa na maeneo ya watoto kucheza na watu kupumzika, kufanya mazoezi, kwani kuna maeneo ya viwanja vya michezo mbalimbali kama vile mpira wa miguu, mpira wa pete, basketball, volleyball, na kadharika.

Mkuu wa msafara huo Mwinje ametoa ushauri kwa wananchi wa Dodoma  kuitunza na kuijali miundombinu ya  miradi yote inayojengwa, pia amewakumbusha wawekezaji waanze kuja kuwekeza kwenye miradi hiyo ili kujiingizia kipato kwani Dodoma limekuwa jiji kubwa.

Alimalizia kwa kuwapongeza Raisi wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania,  Mkuu  wa mkoa, Mkuu wa wilaya, Mkurugenzi wa jiji , wakuu wa idara, wakuu wa vitengo na watumishi wote wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa kazi kubwa na nzuri wanazozifanya ili kuwaletea maendeleo wananchi.

Aidha alipongeza juhud kubwa zinazofanywa na Mbunge,  wenyeviti wa  Kata na mitaa. Mwenyekiti huyo hakuacha kuwasifia na kuwahimiza wahandisi wa kapuni ya Mohamed builders kwa kazi nzuri wanazo zifanya ili lengo la kukamilisha miradi hiyo kwa uzuri na wakati linafikiwa.

Vile vile, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma mjini Patrobas Katambi amesema kuwa anamshukuru sana  Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuri katika kuhakikisha anaifanya Dodoma kuwa ya thamani na yenye mvuto kwa kuipatia pesa nyingi ambazo zinasaidia kukamilisha miradi hii ya jiji.




Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.