• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Kamati ya UKIMWI ziarani, yatoa elimu kwa wanafunzi

Imewekwa tarehe: October 11th, 2021

KAMATI ya kudhibiti Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma imefanya ziara katika shule ya Sekondari ya Ntyuka na shule ya Msingi Mtemi Mazengo zilizopo katika Halmashauri hiyo na kukutana na wanafunzi kwa ajili ya kuwapa elimu kuhusu mimba za utotoni na UKIMWI ili waweze kujitunza na kuzingatia masomo yatakayowawezesha kufikia malengo yao katika Maisha.

Wajumbe wa kamati hiyo wakiongozwa na mwenyekiti wake Emmanuel Chibago ambaye ni pia ni Naibu Meya wa Jiji la Dodoma walifanya ziara hiyo leo Oktoba 11, 2021 wakianzia shule ya Sekondari ya Ntyuka iliyopo kata ya Ntyuka na baadaye Shule ya Msingi Mtemi Mazengo iliyopo kata ya Ipagala Jijini humo.

Akizungumza kwa niaba ya wajumbe wa kamati, Naibu Meya Chibago alisema lengo la ziara hiyo kwanza ni kukagua endapo wanafunzi wanafikishiwa elimu juu ya janga la UKIMWI na mimba za utotoni lakini pia kuzungumza na wanafunzi moja kwa moja juu ya changamoto hizo ambazo zimekuwa kikwazo kikubwa katika kuandaa maisha yao ya baadaye.

“Tumekubaliana kama kamati kuwa, haitoshi kukaa tu ukimbini kila siku kufanya vikao bila kufika kwa jamii ambayo ndiko walengwa ndiyo maana leo tumeamua kufanya ziara ili tutoe elimu na kukagua kama taarifa tunazokutana nazo vikaoni zina uhalisia huku jamii ilipo” alisisitiza Chibago ambaye ni diwani wa Kata ya Matumbulu Jijini Dodoma.

Baada ya ziara katika shule hizo, wajumbe wa kamati hiyo walikutana na kufanya kikao cha ndani kwa ajili ya kupokea na kujadili taarifa ya utekelezaji wa shughuli za kuthibiti UKIMWI zilizofanywa katika kipindi robo ya kwanza ya mwaka wa fedha yaani kuanzia Julai Mosi hadi Septemba 30, 2021.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.