• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Kampeni ya chanjo ya Surua Rubella na Polio yashika kasi Jiji la Dodoma

Imewekwa tarehe: October 19th, 2019

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imefanikiwa kuchanja watoto 34,981 katika siku mbili za utekelezaji wa kampeni ya kitaifa la chanjo ya Surua Rubella na Polio.

Takwimu hizo zimetolewa na mganga mkuu wa Halmashauri ya Jiji Dkt. Gatete Mahava alipokuwa akitoa taarifa ya utekelezaji wa kampeni ya chanjo ya Surua Rubella na Polio kwa siku mbili za utekelezaji wa kampeni hiyo ya siku tano.

Dkt. Mahava alisema kuwa jumla ya watoto 34,981 walichanjwa kwa siku mbili za mwanzo za utekelezaji wa kampeni hiyo. “Watoto waliochanjwa kujikinga na Surua ni 22,768 sawa na asilimia 41. Aidha, watoto waliochanjwa dhidi ya kujikinga na Polio ni 12,213 sawa na asilimia 35” alisema Dkt. Mahava.

Mganga mkuu huyo aliwahakikishia wananchi kuwa chanjo hizo ni salama na kuwataka kupuuza taarifa zozote zinazolenga kupotosha ufanisi wa kampeni hiyo.

Wakati huohuo, Hawa Ramadhani mzazi aliyepeleka mtoto wake mwenye umri wa miaka mitatu na miezi tisa kupatiwa chanjo alielezea furaha yake baada ya mtoto wake kupatiwa chanjo hiyo. “Ninafuraha leo mtoto wangu amechanjwa ili kumkinga na ugonjwa wa Surua katika hiki kituo cha Afya Makole. Wito wangu wazazi na walezi wajitokeze kuwapeleka watoto wakapatiwe chanjo za aina zote kulingana na umri wao” alisema Ramadhani. “Chanjo ni muhimu sana kwa kuwakinga watoto dhidi ya magonjwa ya Surua na Polio, unaona hata mganga mkuu wa Jiji letu leo siku ya mapumziko lakini anapita kwenye vituo kukagua jinsi zoezi hili linavyoendelea” alisema mama huyo.

Kampeni ya chanjo ya kuzuia ugonjwa wa Surua Rubella na Polio katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma imeanza tarehe 17/10/2019 na itaendelea hadi tarehe 21/10/2019, ikiongozwa na kaulimbiu isemayo “Chanjo ni Kinga, kwa Pamoja Tuwakinge”.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.