• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Kanda zenye Wanyamapori wakali na waharibifu kuongezewa vitendea Kazi

Imewekwa tarehe: November 11th, 2022

SERIKALI imesema itaongeza vitendea kazi yakiwemo magari na pikipiki katika Kanda zenye changamoto za wanyamapori wakali na waharibifu kwa ajili ya kuwezesha kazi ya udhibiti wa wanyamapori wakali na waharibifu kunusuru maisha na mali za wananchi wanaoathirika na wanyamapori hao.

Hayo yalisemwa Bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja kwa niaba ya Waziri wa Maliasili alipokuwa akijibu swali la Mbunge wa Manyoni Magharibi, Yahaya Massare aliyetaka kujua mikakati ya Serikali ya kudhibiti Tembo wanaovamia vijiji vya Doroto, Kitaraka, Kamenaga, Gurugu, Muhanga na Njirii.

Ameongeza kuwa Serikali imekuwa ikitekeleza mkakati wa kudhibiti wanyamapori wakali na waharibifu kwa kuimarisha vituo vya Askari wa Wanyamapori nchini ikiwemo kituo cha askari wanyamapori kilichopo katika kijiji cha Doroto Wilayani Manyoni.

“Wizara imeagiza jumla ya magari 35 na pikipiki 50 ambapo Kanda ya Manyoni itapatiwa gari moja na pikipiki mbili ili kuwezesha udhibiti wa wanyamapori wakali na waharibifu” alisema Masanja.

Aidha, amefafanua kuwa katika kipindi cha mwaka 2021/22 jumla ya doria 960 zimefanywa na Askari wa Jeshi la Uhifadhi kudhibiti wanyamapori wakali na waharibifu hususan tembo na kuongeza kuwa Serikali inaendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya mbinu rafiki za kudhibiti wanyamapori hao ambapo Askari Wanyamapori wa Vijiji wa wilaya watapatiwa mafunzo maalum katika Chuo cha Uhifadhi wa Maliasili kwa Jamii - Likuyu Sekamaganga Mkoani Ruvuma.

Mary Masanja alisisitiza kuwa Wizara ya Maliasili na Utalii itaendelea kutekeleza mpango wa kudhibiti wanyamapori wakali na waharibifu katika maeneo mengine yenye changamoto nchini kwa kadri fedha zinavyopatikana.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.