• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Kasi ya ujenzi madarasa yamfurahisha RC Senyamule

Imewekwa tarehe: May 30th, 2023

Na. Dennis Gondwe, DODOMA MAKULU

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule ameridhishwa na kasi ya ujenzi wa miundombinu ya elimu ya msingi inayoendelea katika Shule ya Msingi Kisasa kupitia Mradi wa Kuboresha Upatikanaji wa Fursa sawa katika Ujifunzaji bora wa Elimu ya Awali na Msingi Tanzania Bara (BOOST).

Kauli hiyo aliitoa alipofanya ziara ya kutembelea na kukagua maendeleo ya ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa ya awali ya mfano na matundu sita ya vyoo katika Shule ya Msingi Kisasa iliyopo Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

“Tumetembelea Shule ya Msingi Kisasa na tumeshuhudia madarasa mawili yakiwa kwenye hatua nzuri sana ya upauaji na vyoo vinaendelea kujengwa. Kwa kweli tumefurahishwa sana na kasi ambayo tumeiona. Tunakupongeza sana Mheshimiwa Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Mkurugenzi wa Jiji na wote wanaohusika kusimamia mradi huo akiwemo mwalimu mkuu na kamati yake inayofanya kazi hiyo. Kazi ni nzuri na tumehimiza umaliziaji uendane na muda uliobaki” alisema Senyamule kwa tabasamu la uhakika.

Akisoma taarifa ya mradi huo, Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Kisasa, Jesca Mwarabu alisema kuwa shule yake ilipokea shilingi 63,600,000 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa ya awali ya mfano, matundu sita ya vyoo na kutengeneza samani. “Mradi huu unatekelezwa na kusimamiwa na kamati tatu zilizoundwa ambazo ni kamati ya ujenzi, kamati ya manunuzi na kamati ya mapokezi na ukaguzi wa vifaa. Mpaka sasa ujenzi umefikia hatua ya kupiga plasta kwa madarasa yote mawili na kufunga renta katika jengo la choo. Mpaka sasa malipo yaliyofanyika ni shilingi 40,131,250 tunatarajia ifikapo tarehe 10 Juni, 2023 kazi hii iwe imekamilika kwa asilimia 100” alisema Mwarabu.

 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma akiambatana na kamati yake ya Usalama alifanya ziara ya kutembelea na kukagua miradi ya elimu katika Jiji la Dodoma akianzia Shule ya Sekondari Bunge, Shule ya Msingi Kisasa, Shule ya Msingi mpya inayojengwa Swaswa na Shule ya Msingi mpya inayojengwa Mbwanga, Mkuu wa Mkoa ameridhishwa na maendeleo ya ujenzi huo.

Ujenzi wa vyumba viwili vya madarasa ya awali ya mfano unavyoendelea katika Shule ya Msingi Kisasa iliyopo Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.