• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Kata ya Makutupora, kinara wa timu za michezo na ngoma za asili

Imewekwa tarehe: April 15th, 2025

Na. Nancy Kivuyo, MAKUTUPORA

Kata ya Makutupora yapongeza juhudi za serikali ya awamu ya sita za kuboresha miundombinu ya michezo jambo iliyopelekea hamasa kwa wananchi kupenda kushiriki katika michezo kwaajili ya kuibua vipaji na kuboresha afya zao.

Pongezi hizo zilitolewa na Afisa Mtendaji Kata ya Matukupora Hamis Jigwa mbele ya waandishi wa habari waliofanya mazungumzo nae baada ya kutembelea miradi ya maendeleo iliyotekelezwa na serikali kuanzia mwaka 2021 hadi 2025. 

Alisema kuwa kwenye sekta ya michezo Kata ya Makutupora ina vikundi vya ngoma za asili ambavyo vimekuwa vikishiriki kwenye upokeaji wa Mwenge wa Uhuru na kushiriki mikutano ya kitaifa pamoja na timu za mpira wa miguu. “Hapa katani kwetu tupo vizuri, wananchi wa kata hii wanapenda michezo sana. Hata hii leo kuna mashindano yanaendelea, kama mtapata muda mtaona jinsi wananchi wa hapa wanavyojitokeza kwa wingi kushiriki katika michezo” alisema Jigwa.

Akiongelea chachu ya hamasa ya michezo, alimtaja Rais, Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa ni kielelezo na chachu ya hamasa ya michezo. “Kama mnavyoona ndugu waandishi kuna mashindano yanaendelea hapa, kupitia kampuni iitwayo JBM Ramadhani Cup ambayo yana zawadi nzuri na yana lengo la kuunganisha wananchi na kujenga afya ya mwili” aliongeza Jigwa.

Alimalizia kwa kusema kuwa Kata ya Makutupora ipo mbioni kuandaa mashindano kwaajili ya kuhakikisha vijana wanaonesha vipaji vyao. “Mashindano hayo tutaweka vituo viwili na bingwa wa kila kituo atapata zawadi ya mbuzi na baadae vile vituo viwili bingwa wa kituo ‘A’ na bingwa wa kituo ‘B’ watacheza mechi mbili nyumbani na ugenini na bingwa atapata mbuzi. Kwahiyo, sisi kwetu suala la michezo tumelipa kipaumbele sana” alisisitiza Jigwa.

Nae, mwananchi wa Kata ya Makutupora, Julias Twaja aliipongeza serikali kwa msukumo wa kuboresha eneo la michezo kwasababu linawafanya watoto na vijana kuchangamkia fursa ya kuvumbua vipji vyao. “Michezo katika miaka ya karibuni imekuwa ni ajira nzuri sana kwa watoto na vijana wetu. Ofisi ya kata inafanya vizuri katika kuhamasisha michezo, tuna timu nyingi sana ukanda huu, tunaamini kwa siku zijazo Makutupora tutang’ara katika sekta ya michezo kiujumla” alipongeza Twaja.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.