• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Kata ya Mkonze yaanza mafunzo ya 10% kwa vikundi

Imewekwa tarehe: November 12th, 2024

Na. Dennis Gondwe,

KATA ya Mkonze imeanza kutoa mafunzo kuhusu mikopo ya asilimia 10 inayotolewa bila riba na Halmashauri ya Jiji la Dodoma kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kwa lengo la kuwajengea uelewa wa uwepo wa mikopo hiyo na taratibu za kuipata.

Kauli hiyo ilitolewa na Afisa Maendeleo ya Jamii Kata ya Mkonze, Theresia Camilius wakati akitoa mafunzo kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu katika Shule ya Msingi Mkonze iliyopo Kata ya Mkonze Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

Theresia alisema kuwa mafunzo hayo yanahusisha vikundi vilivyosajiliwa na vinavyotarajia kuomba mkopo, vikundi ambavyo havijasajiliwa na vinatarajia kuomba mkopo ili viweze kufahamu mchakato na kufanya usajili na kuomba mikopo ya asilimia 10. “Matarajio ya mafunzo haya ni walengwa na wanufaika wa mikopo hii waweze kuelewa fedha zinazotengwa kila robo ya mwaka na Halmashauri ya Jiji la Dodoma ambazo ni asilimia 10 kwa ajili ya kuwezesha vikundi vya wanawake asilimia nne, vijana asilimia nne na watu wenye ulemavu asilimia mbili. Kwa kuwa mikopo hii ilisimamishwa kwa muda ili kufanya maboresho ya miongozo na kanuni yaliyolenga kuwanufaisha watu wengi zaidi” alisema Theresia.

Alisema kuwa mafunzo hayo pamoja na mambo mengine yanalenga kuwawezesha kuandika maandiko ya miradi na uandaaji wa katiba za vikundi. Mafunzo yataendelea kwa kipindi cha wiki sita mfululizo yakihusisha pia namna nzuri ya uendeshaji wa miradi na biashara, aliongeza.

Mafunzo hayo yalihusisha jumla ya vikundi 23, kati yake, vikundi 13 vya wanawake, vikundi nane vya vijana na vikundi viwili vya watu wenye ulemavu yakiwa ni mafunzo endelevu hata baada ya vikundi hivyo kuhitimu mafunzo hayo yaliyogawanyika katika sehemu mbili ambazo ni mafunzo kabla ya kuomba mkopo na mafunzo baada ya kuomba mkopo.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.