• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Kero yako, Wajibu wangu yazinduliwa Dodoma

Imewekwa tarehe: March 18th, 2024

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule, amezindua kauli mbiu ya Mkoa kwa mwaka 2024 yenye lengo la kutatua kero za wananchi wa Dodoma.

Kauli mbiu hiyo inayosema "kero yako, wajibu wangu" imezinduliwa wakati wa kikao cha Kamati ya ushauri wa Mkoa (RCC) kilichofanyika kwenye ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma.

Senyamule amesema uzinduzi wa kauli mbiu hiyo, ni utekelezaji wa agizo la Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kila kiongozi kusikiliza na kutatua kero za wananchi wa eneo lake.

"Tumekuja na kauli mbiu hii ili kuleta hamasa kwa watumishi wa Serikali ngazi zote kuhakikisha kila Mtumishi anashughulika na kero za wananchi kwenye eneo lake. Maagizo yalisema kila Mtumishi atenge siku ya kusikiliza kero, Maafisa utumishi wote wasimamie utatuzi wa kero za wananchi. Kazi hii isiwe ya mtu mmoja". Alisisitiza Senyamule

Mbali na uzinduzi huo, kikao cha Kamati ya ushauri Mkoa, kimejikita zaidi kujadili utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwenye Taasisi mbalimbali za umma kwa mwaka wa fedha 2023/24 sambamba na uwasilishaji wa mapendekezo ya bajeti ya 2024/25.

Mapendekezo ya bajeti mpya ni shilingi Bilioni 398 zinazojumuisha Bilioni 275 kwa ajili ya matumizi ya kawaida na Shilingi Bilioni 123 kwa ajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kama vile kugharamia miradi ya Halmashauri katika sekta za Elimu, afya , miradi ya kilimo, mazingira, n.k

Mwenyekiti wa kikao hicho ambaye ni Mkuu wa Mkoa, amefunga kikao hicho kwa kuomba bajeti hiyo upya iidhinishwe. Pia ametoa maagizo kadhaa yakiwemo kufuatiliwa watoto wote ambao hawajarudi shuleni mpaka Sasa, fedha za lishe zipelekwe kwenye Halmashauri na Maandalizi kwa ajili ya mashindano ya AFCON yaanze kufanyika kwani Dodoma itakua mwenyeji wa mashindano hayo.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.