• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Kichaa cha mbwa kutokomezwa 2030

Imewekwa tarehe: October 3rd, 2019

SERIKALI inaandaa mkakati wa kitaifa wa kudhibiti kichaa cha mbwa, wenye lengo kuu la kutokomeza ugonjwa huo ifi kapo mwaka 2030. Hayo yalisemwa jijini Dar es Salaam na Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu.

Aliwapongeza wanaoshiriki katika kudhibiti kichaa cha mbwa nchini Alisema mkakati unaoandaliwa, unasisitiza ushirikiano wa sekta mtambuka katika kudhibiti ugonjwa wa kichaa cha mbwa nchini, kama vile kuchanja mbwa na kuhakikisha chanjo ya binadamu inapatikana katika vituo vya kutolea huduma za afya. Pia, kutoa elimu kwa umma ya njia mahususi za kujikinga na kichaa cha mbwa.

Alisema wizara yake inaandaa mkakati huo kwa kushirikiana na Wizara ya Mifugo na Uvuvi, Shirika la Afya Duniani (WHO), Shirika Linaloshughulika na Afya ya Wanyama Duniani (OIE) na asasi zisizo za kiserikali kupitia uratibu wa Dawati la Afya Moja.

Alisema mkakati huo unaandaliwa kwa sababu ugonjwa wa kichaa cha mbwa hauna tiba. Alisema ugonjwa huo husababisha vifo na huleta athari zingine kubwa katika uchumi.

Kwamba kwa bara la Afrika, gharama ya chanjo kwa binadamu ni Sh 150,000 kwa mgonjwa, ambazo ni kiasi kikubwa. Akielezea ugonjwa huo, alisema ugonjwa wa kichaa cha mbwa uliripotiwa kwa mara ya kwanza nchini Tanzania mwaka 1932. Kwamba baada ya hapo, wagonjwa wameendelea kuripotiwa kutoka maeneo mbalimbali ya nchi kwa viwango tofauti.

Ummy alisema kuanzia Januari hadi Agosti mwaka huu, watu 16,290 wametolewa taarifa ya kuumwa na mbwa na vifo nane vimeripotiwa.

“Tatizo la kichaa cha mbwa ni kubwa zaidi, kwani takwimu hizi hazijumuishi vifo vinavyotokea nyumbani na waathirika ambao hawakufika katika vituo vya kutolea huduma za afya,” alisema.

Kwamba utafiti uliofanyika mwaka 2002 nchini Tanzania, ulibainisha kuwepo takriban vifo 1,499 kwa mwaka kutokana na ugonjwa huo. Aidha, tafiti zimeonesha waathirika wakuu wa ugonjwa huo ni watoto chini ya miaka 15, kwa sababu huwa karibu zaidi na mbwa wanaofugwa; na pia hupenda kucheza au kuchokoza mbwa wasiowafahamu.

Alisema vimelea vya kichaa cha mbwa vinapoingia katika jeraha, hushambulia neva za fahamu kutoka katika eneo la jeraha, kuelekea katika uti wa mgongo na hatimaye kuathiri ubongo.

Chanzo: HabariLeo Online

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.