• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Kila Mkoa kupanda miti milioni 1.5, Dodoma wamefanya vizuri – Waziri Ummy

Imewekwa tarehe: December 19th, 2020

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa  Rais Muungano na Mazingira Mhe. Ummy Mwalimu  amewataka Maafisa Mazingira wa Mikoa nchini kuhakikisha wanasimamia Halmashauri zilizopo katika Mikoa yao kupanda miti milioni moja na laki tano kila mwaka ili kuhifadhi mazingira kwa vizazi vya sasa na baadaye.

Waziri Ummy ametoa kauli hiyo jana Jijini Dodoma wakati akizindua jiwe la utambulisho eneo la Msitu wa Jiji Medeli Jijini hapa .

‘'lakini isiishie tu katika kupanda miti, kama Dodoma walivyotuambia miti imekuwa kwa asilimia 88% na mimi nikienda katika mkoa, moja ya taarifa ninayotaka kuipata mmpenda miti mingapi katika kila halmashauri, mingapi imeota na Dodoma Wamefanya vizuri’’ Waziri Ummy amesema

Wakati huo huo Waziri Ummy amezitaka Taasisi binafsi na Mashirika yasiyo ya kiserikali kushirikiana na Halmashauri katika kuhakikisha miti hiyo milioni 1.5 inapandwa kila mwaka huku akisema kuwa wanakuja na mpango kabambe wa kuboresha mazingira katika majiji sita.

‘’Majiji hayo ni Dodoma, Tanga, Mwanza, Arusha, Dar es salaam na Mbeya. Tunataka kuonesha kwamba unaweza kuwa katika halmashauri ya jiji na bado tukapanda miti, tukawa na misitu ya jiji na mipango safi ya uhifadhi ya majitaka lakini pia masuala ya usimamizi wa taka ngumu’’ amefafanua Waziri.

Kwa upande wake Mtaalamu wa Mazingira Dkt. Severin Kalonga wa Shirika la Kimataifa la Uhifadhi wa Mazingira na Wanyapori (WWF) amesema kwa kushirikiana na Ofisi ya Makamu wa Rais walibuni mradi wa kuunga mkono juhudi za serikali za kukijanisha Dodoma ikiwa ni pamoja na juhudi za kupanda miti hapa nchini.

Naye  Afisa Misitu  kutoka Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania Zuirekha Kashwamba amesema TFS imejitahidi kupanda miti, kwani toka kampeni ya Dodoma ya kijani imeanza wamefanikiwa kupanda miti Milioni moja na laki nane ambapo kwa sasa wanamiche laki tano ndani ya bustani zao ambayo inasubiriwa  kupandwa.




Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.