• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa ampongeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

Imewekwa tarehe: August 17th, 2022

Na.Sifa Stanley, DODOMA

KIONGOZI wa mbio za mwenge kitaifa, Sahili Geraruma ampongeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Dodoma Joseph Mafuru kwa kutekeleza agizo la Serikali kutoa mikopo kwa vijana, kinamama pamoja na walemavu.

Pongezi hizo alizitoa katika mbio za Mwenge wa Uhuru ulipotembelea mradi wa kikundi cha vijana cha Kiu ya Ufanisi kilichopo Nanenane Kata ya Nzuguni, kinachojishughulisha na kilimo cha nyanya kwa njia ya kisasa.

Kiongozi huyo alisema kuwa Mkurugenzi wa  Halmashauri ya Jiji la Dodoma anafanya vizuri kwa kufanya utekelezaji wa agizo lililotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluh Hassan, kuwa halmashauri zitoe mikopo kwa vijana, watu wenye ulemavu pamoja na kinamama.

“Mwenge wa Uhuru unatoa pongezi kwa Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, kwa kutekeleza moja ya maagizo kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kutoa mikopo kwa vijana, kinamama, pamoja na watu wenye ulemavu. Mkurugenzi mtu akija kuomba mkopo kama ametimiza vigezo mpatie mkopo,” alisema Geraruma.

Aidha, aliwaagiza wanufaika wa mikopo inayotolewa na jiji kuwa waaminifu katika kurejesha mikopo yao na warejeshe mikopo hiyo kwa wakati ili mikopo izidi kuwanufaisha  watu wengine.

“Wanufaika wa mikopo hii, hakikisheni kuwa mnarejesha mikopo kwa wakati ili muendelee kuaminika na kukopesheka zaidi, lakini pia mtatoa nafasi kwa watu wengine kunufaika na mikopo hii isiyo riba”,alisema Geraruma.

Sambamba na hilo, alitoa wito kwa watu wote kujitokeza kuchukua mikopo yao ambayo wataitumia kuendesha shughuli zao za kiuchumi na kuwasaidia wanufaika wa mkopo  kujikwamua kiuchumi na kulisaidia taifa kusogeza mbele gurudumu la maendeleo.

Mbio za Mwenge wa Uhuru katika Wilaya ya Dodoma zimefanyika Tarehe 17/08/2022 ambapo ulikimbia umbali wa jumla ya kilomita 129.5, na ukiwa katika wilaya hiyo ulitembelea, kukagua pamoja na kuweka mawe ya msingi katika miradi mbalimbali ya maendeleo  inayoendeshwa ndani ya jiji la Dodoma.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.