• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru aridhishwa na wingi wa wananchi kwenye mkesha wa Mwenge

Imewekwa tarehe: August 19th, 2022

Na. Dennis Gondwe, DODOMA


KIONGOZI wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa mwaka 2022 Sahili Geraruma ameridhishwa na wingi wa wananchi waliojitokeza kuulaki Mwenge wa Uhuru wilayani Dodoma na kushiriki mkesha uliofanyika katika uwanja wa shule ya msingi Chang’ombe kuwa wameutendea haki Mwenge wa Uhuru.

Kauli hiyo aliitoa katika uwanja wa mkesha wa Mwenge wa Uhuru uliofanyika katika shule ya msingi Chang’ombe iliyopo Kata ya Chang’ombe jijini hapa.

Geraruma alisema kuwa wingi wa watu waliojitokeza ni ishara ya kuheshimu na kuunga mkono Mwenge wa Uhuru. Aliwapongeza wananchi kwa kujitokeza kwa wingi katika maeneo ya kupokelea ujumbe wa Mwenge wa Uhuru na mkesha. “Pongezi kwa vyombo vya ulinzi na usalama kwa kazi nzuri. Tunatamani kuendelea kubaki hapa Jiji la Dodoma lakini kwa majukumu na itifaki ya Mwenge wa Uhuru tunalazimika kuondoka” alisema Geraruma.

Akiongelea Sensa ya watu na makazi, alisema kuwa sensa hiyo ni muhimu kwa wote. “Sensa ya watu na makazi ni zoezi muhimu kwa mustakabari wa wananchi wetu na maendeleo ya nchi kwa ujumla” alisema Geraruma.

Awali akimkaribisha Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa kuaga mamia ya wananchi waliojitokeza katika mkesha wa Mwenge wa Uhuru 2022, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Jabir Shekimweri alisema kuwa wingi na mafanikio hayo ni kutokana na ushirikiano. “Ndugu kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa, napenda kumshukuru Diwani wa Kata ya Chang’ombe na madiwani wote wa Jiji la Dodoma wakiongozwa Mstahiki Meya Prof. Davis Mwamfupe, Mkurugenzi wa Jiji na wakuu wa Idara na wananchi wote na kwa uzito huohuo, viongozi wa Chama cha Mapinduzi wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Dodoma kushiriki vema katika mbio za Mwenge wa uhuru 2022. Pongezi wakimbiza Mwenge wa Uhuru kitaifa, mkoa na wilaya. Umoja na mshikamano ndiyo msingi wa maendeleo” alisema Shekimweri.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.