• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Kituo cha vyombo vya habari cha Dodoma Media Group kutoa elimu ya mpiga kura katika kujiandaa na uchaguzi wa serikali za mitaa na utunzaji wa mazingira

Imewekwa tarehe: July 3rd, 2024

Kituo cha vyombo vya habari cha Dodoma Media Group kutoa elimu ya mpiga kura katika kujiandaa na uchaguzi wa serikali za mitaa na utunzaji wa mazingira.

Kauli hiyo ilitolewa na Mejena Mkuu wa Dodoma Media Group, Zania Miraji alipokuwa akisoma taarifa ya mradi wa kituo cha vyombo vya habari cha Dodoma Media Group kilichopo katika Mtaa wa Miyuji Proper jijini Dodoma kwa Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa mwaka 2024.

Miraji alisema “kupitia vyombo vya habari vya Dodoma Media Group jamii ya Dodoma itapata haki ya upatikanaji wa taarifa na elimu juu ya masuala mbalimbali ikizingatia ujumbe wa ‘Tunza Mazingira na Shiriki Uchaguzi wa Serikali za Mitaa kwa Ujenzi wa Taifa Endelevu’. Elimu itakayotolewa ni pamoja na elimu ya masuala ya uchaguzi ikiwemo elimu ya mpiga kura ambapo kutakuwa na kipindi maalum cha kuelimisha Umma kujiandaa na uchaguzi wa serikali za mitaa. Pia itatolewa elimu juu ya lishe na kutakuwa na kipindi maalum kitakachozungumzia masuala ya lishe na elimu juu ya utunzaji wa mazingira na athari za uharibifu wa mazingira”.

Akiongelea lengo la mradi huo alisema kuwa ni kiunganishi muhimu kati ya sekta binafsi, serikali na jamii. Aliongeza kuwa mradi unaunga mkono jitihada za serikali chini ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan za kuhamishia shughuli za serikali na sekta binafsi mkoani Dodoma. “Ndugu Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2024, mradi huu ukikamilika utatoa ajira kwa wafanyakazi 36 kati yao Wanaume 19 na wanawake 17 miongoni mwao watu wenye Ulemavu ni 03” alisema Miraji.

Akiongelea gharama za mradi, alisema kuwa hadi kukamilika utagharimu shilingi 1,000,000,000. Alisema kuwa hatua iliyofikiwa kiasi cha shilingi 700,000,000 kimetumika sawa na asilimia 70, akivitaja vyanzo vya fedha kuwa ni matangazo ya biashara, mkopo na mapato binafsi ya mkurugenzi.

Mradi wa kituo cha vyombo vya habari cha Dodoma Media Group ulianza kutekelezwa tarehe 1 Oktoba, 2018 ukitarajiwa kukamilika tarehe 31 Desemba, 2024, ukihusisha ujenzi wa majengo ya studio za redio, televisheni, samani na mifumo ya umeme na maji.


Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.