• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Kongole kwenu DOYODO - Dkt. Gwajima

Imewekwa tarehe: February 24th, 2021

KONGAMANO la Maafisa na Wadau wa Maendeleo ya Jamii nchini Tanzania limefanyika Jijini Dodoma na kufunguliwa na mgeni rasmi Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima.

Taasisi ya Maendeleo ya Vijana Mkoani Dodoma (DOYODO) Ilipata fursa ya Kushiriki Kongamano na kuonesha shughuli na miradi inayoendeshwa na taasisi hiyo ya vijana iliyojizolea umaarufu mkubwa Jijini Dodoma kwa mikakati na utekelezajiwa wa majukumu yake.

Aidha, Waziri wa Afya Dkt. Dorothy Gwajima akiwa ameambatana na Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana wa Jiji la Dodoma, Sharifa Nabalang’anya alipata fursa ya kutembelea banda la DOYODO ambapo Afisa Mjengea uwezo wa DOYODO, Hawa Said alimuelezea mgeni rasmi kuhusu Mradi wa Magauni manne unaolenga kutokomeza mimba za utotoni jijini Dodoma.

Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima alipongeza sana mradi huo pamoja na kuvutiwa na namna ambavyo DOYODO imekuwa kinara wa kupambana na mimba za utotoni mkoani Dodoma, lakini pia aliahidi kutembelea Ofisi za DOYODO kwa lengo la kuendelea kuboresha ushirikiano hususani kwenye mapambano ya mimba za utotoni na ukatili kwa watoto wa kike.

Vile vile, Waziri alikagua bidhaa za vikundi vilivyokopeshwa  na Halmashauri ya Jiji la Dodoma na kupongeza jitihada zinazofanywa na Jiji la Dodoma kuhakikisha kuwa inatekeleza kwa vitendo agizo la kutenga na kutoa mikopo ya asilimia kumi (10%) kama ilivyoelekezwa na Serikali.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima (wa pili kushoto) akimsikiliza kwa makini Afisa Mjengea uwezo wa DOYODO Hawa Said (wa kwanza kulia) akitoa maelezo kuhudu mradi wa Magauni Manne unaoendeshwa na Taasisi ya DOYODO. Kushoto ni Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana wa Jiji la Dodoma, Sharifa Nabalang'anya.

Chanzo: Idara ya Habari na Mawasiliano DOYODO

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.