• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Kuelekea siku yao, wanawake wawakumbuka wenzao

Imewekwa tarehe: March 7th, 2020

WANAWAKE waliofungwa katika gereza la Isanga wana mahitaji kama wanawake wengine katika jamii na kustahili upendo na kuthaminiwa ili wafurahie maisha wawapo gerezani na watakapotoka nje ya gereza.

Kauli hiyo imetolewa na Afisa Maendeleo ya Jamii katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Honoratha Rwegasira muda mfupi kabla ya kamati ya maandalizi ya siku ya wanawake Mkoa wa Dodoma kwenda kutembelea wanawake waliofungwa katika gereza la Isanga na kituo cha wa watoto yatina na wazee Hombolo leo.

Honoratha amesema kuwa katika kuelekea kilele cha siku ya wanawake, kamati ya maandalizi imepanga kwenda kutembelea na kutoa misaada kwa wafungwa wanawake katika gereza la Isanga. Akiongelea sababu za kutembelea wafungwa wanawake waliofungwa katika gereza hilo, amesema “Wafungwa hao ni wanawake wenzetu. Wapo waliofungwa kwa makosa mbalimbali na magereza ni sehemu ya kujifunza.

Hivyo, kwenda kwetu kuwatembelea ni kuonesha upendo wetu kwao na kuwakumbusha kuwa hawajatengwa na jamii. Tunavyoenda wao watajifunza kutoka kwetu na wapo watakaohitaji msaada kutoka kwetu”.

Alisema kuwa katika timu hiyo atakuwepo afisa ustawi wa jamii ili kama kuna wafungwa wenye watoto wadogo waone jinsi ya kuwasaidia watoto hao ili wasiwe sehemu ya kutumikia vifungo vya mama zao.

Akiongelea kituo cha watoto yatima na wazee Hombolo, Afisa Maendeleo ya Jamii huyo alisema kuwa ziara hiyo inalenga kwenda kuwafariji watoto na wazee katika kituo hicho.

Kuhusu misaada itakayopelekwa aliitaja kuwa ni nguo mbalimbali, sabuni za kufulia na kuoga, mafuta ya kula na kupaka na taulo za kike. Zawadi nyingine ni maziwa, mchele, sukari, chumvi na unga, pampasi pamoja na misaada mingine.

Kilele cha maadhimisho ya siku ya wanawake duniani kwa Mkoa wa Dodoma kitafanyika katika shule ya msingi Mkonze, mgeni rasmi atakuwa mama Felista Bura, Mbunge wa Viti maalum Mkoa wa Dodoma. Maadhimisho mwaka huu yanaongozwa na kaulimbiu isemayo “Kizazi cha usawa kwa Maendeleo ya Tanzania ya sasa na ya baadaye”.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.