• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Kutoka ofisi ya Kamanda wa Polisi, watoto 4 wafa maji

Imewekwa tarehe: April 28th, 2021

WATOTO wanne wamepoteza maisha Mkoani Dodoma baada ya kuzama kwenye maji kwa nyakati tofauti.

Mtoto mmoja alizama kwenye maji wakati akiogelea ,mwingine akiwinda bata maji kwenye mabwawa huku wawili wa familia moja wakifariki dunia baada ya kutumbukia kwenye kisima cha maji ambayo yalikuwa ni kwaajili ya matumizi ya nyumbami.

Akizungumza na Waandishi wa Habari leo,Kamanda wa Polisi Mkoani hapa, Gilles Muroto amesema matukio hayo yametokea katika maeneo tofauti,hivyo ametoa wito kwa wananchi kuwa makini na watoto wao kwa kuwakataza kwenda katika maeneo hayo ambayo yamekuwa yakitumika kwaajili ya kuogolea na kuvua samaki.

‘’tumeshapoteza vijana wanne kwa matukio ya kuogelea kwenye maji,tarehe 26/4/2021 kijiji cha mkoka kata ya Nzoisa mtoto Kanduru Kasakama (9) alizama maji wakati akiogolewa na wenzake,mwingine 25/4/2021 kata ya mlali mtoto kulwa Jakson simango (15) alizama maji wakati anawinda bata maji wakati akiwinda na wenzake na 25/4 /2021 kata Nzoisa watoto wa familia maji Samora Amos (6) na Emanuel Amosi (13) walizama kisimani baada ya kutumwa na mama yao kwenda kuchota maji kwaajili matumizi ya nyumbani’’Amesema muroto

Wakati huo huo amesema jeshi hilo limefanikiwa kuwakamata watuhumiwa 41 wanaojihusisha na vitendo vya uhalifu ikiwemo wizi wa pikipiki 16 na kumkamata Bwana Charles  (30 ) kwa makosa ya kumiliki silaha aina ya Shot Gun isivyo halali.

‘’Maeneo ya Nkuhungu,Chang’ombe,Airport ,Nzuguni,Area c na Swaswa ,kwahiyo tumekamatwa karibia pikipiki 16 na watuhumiwa 41 ambao wanajihusisha na vitendo vya uhalifu’’Amesema Muroto

Akizungumzia  Mkutano Mkuu wa chama cha Mapinduzi unaotarajiwa kuanza April 29-30 ,Kamanda Muroto amesema jeshi la polisi limeendelea kujiimarisha kuhakikisha kuwa wageni wote wanaokuja kuhudhuria katika mkutano huo wanakuwa salama huku likitoa onyo kwa matapeli.

‘’Kuna wale wanaojifanya maafisa usalama wa Taifa hiki ni kipindi ambacho mara nyingi huwa wanajipenyeza na kufanya matukio hayo,hao wote tutakuwa tunawachunguza" alisistiza Kamanda huyo.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.