• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Kwa pamoja tuwalinde wazee wetu - Waziri Simbachawene

Imewekwa tarehe: October 3rd, 2022

Na. Josephina Kayugwa, DODOMA

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, Mhe. George Simbachawene ametoa wito kwa vyombo vya ulinzi na usalama nchini kwa kuwataka kuhakikisha wazee wanalindwa na wanakuwa salama kwa lengo la kuondokana na tatizo la ukatili linaloendelea.

Wito huo ameutoa katika maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani ambayo kitaifa yamefanyika katika Uwanja wa Mashujaa Jijini Dodoma yakiongozwa na kauli mbiu inayosema "Ustahimilivu na mchango wa wazee ni muhimu kwa maendeleo ya Taifa".

"Wazee wamekuwa wakikutana na changamoto hasa tatizo la ukatili limekuwa likiwakumba sana na kutishia usalama wa maisha yao, wengine wamekuwa wakiuawa kutokana na imani zisizofaa katika jamii kitu ambacho sio kizuri kabisa.

Sisi sote tuna jukumu la kuwalinda na kuwathamini hawa wazee kutokana na mchango mkubwa wa kimaendeleo ambao ulifanywa na wao, hivyo kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama wananchi wote tuhakikishe tunawalinda wazee." amesema Simbachawene.

Akifafanua zaidi Simbachawene amesema suala la kuwalinda na kuwathamini wazee linaanzia katika ngazi ya familia kwanza, kwasababu huko ndiko taarifa zao zinapatikana kiusahihi na kama ushirikiano ukipatikana kutoka huko basi wazee hawa watakaa kwa amani.

Aidha waziri Simbachawene aliwaomba wadau wengine kuungana na serikali katika kuwasadia wazee katika mahitaji mbalimbali ikiwemo chakula, mavazi na maradhi lakini pia Halmashauri zote ziangalie utaratibu wa kuwatambua wazee katika kila eneo husika kwa kuwapatia bima zitakazowasaidia katika matibabu.

Kwa upande wake Abdul Kikoo, mkazi wa Makole Jijini Dodoma ameishukuru Serikali kwa kuona mchango wa wazee katika Taifa kwa kuwawekea siku maalumu ya kuwakumbuka na kukumbushana kama jamii juu ya umuhimu wa kuwathamini na kuwalinda wazee.

"Nipende kusema asante kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kutukumbuka, kwa karne hizi vijana baadhi yao wamekuwa hawawathamini wazee kiasi cha kuwafanyia ukatili mbaya hata kuondoa uhai wa wazee.

Tunaiomba Serikali iendelee kutoa elimu kwa jamii hasa vijana ambao wengi wao wameonekana kutokuwa na maadili kwa  kutofuata utamaduni wa kitanzania, kitu kinachosababisha kuvunjika kwa sheria na utaratibu," alisema Kikoo.

Ikumbukwe kuwa mnamo tarehe 14 Disemba, 1990 Umoja wa Mataifa uliridhia na kusema kwamba tarehe 1 Oktoba kila mwaka itakuwa siku ya wazee kimataifa, Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwathamini wazee kwa mwaka huu imeadhimisha siku ya wazee kitaifa tarehe 3 Octoba.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.