• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

LAAC yaipongeza Halmashauri ya Jiji la Dodoma

Imewekwa tarehe: August 19th, 2023

MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa, Stanslaus Mabula amelipongeza jiji la Dodoma kwa kutengeneza vitega uchumi mbalimbali vya kudumu vyenye lengo la kuimarisha mapato ya Jiji hilo.

Mabula ametoa pongezi hizo wakati wa ziara ya kikazi ya kamati hiyo ya kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa kupitia fedha za Boost, mapato ya ndani na fedha kutoka serikali kuu ambapo katika ziara hiyo aliambatana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma pamoja na Sekretarieti yake na wataalamu kutoka Halmashauri ya Kongwa na Jiji la Dodoma.

"Majiji mengi hayana miradi kama hii Dodoma ni jiji changa lakini mnakua kwa kasi na kazi yenu inaonekana machoni hongereni kwa kazi nzuri. Miradi kama hii inahitaji wawekezaji wazuri ili iendelee kuwanufaisha kwahiyo inatakiwa mfanye jitihada ili ifanye kazi vizuri hongereni na msichoke kuendelea kuwekeza na kuwaza miradi mikubwa zaidi," alisema Mabula

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule alisema uwepo wa miundombinu hiyo (Ukumbi wa mikutano na Hoteli ya Jiji) unawarahisishia ufanisi wa kazi wageni wanaofika Mkoani hapo kwa lengo la kuwekeza na kupata huduma za Kiserikali na kuwataka uongozi wa Jiji kuendelea kuweka vivutio vya kisasa vinavyoendana na miundombinu hiyo.

"miundombinu bora inahitaji vivutio vya kisasa ili kuendana na makao makuu ya nchi, uwepo wa ukumbi huu wenye uwezo wa kubeba watu 1000 utarahisisha kufanyika kwa vikao vya kitaifa na kimataifa pia uwepo wa Hoteli ya Jiji umerahisisha angalau mabalozi na watu wengine wanaohitaji kupumzika kwenye hoteli yenye hadhi ya nyota tano kwasababu hoteli hii angalau inakaribia kufikia hadhi hiyo", alisema Senyamule.

Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.