• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

LAAC yapongeza maboresho kituo cha Afya Makole

Imewekwa tarehe: January 21st, 2020

KAMATI ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) imepongeza ujenzi wa majengo matano katika kituo cha Afya Makole jijini Dodoma ikiwa ni mkakati wa serikali wa kuboresha huduma za Afya nchini.

Pongezi hizo zilitolewa na Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa, Vedasto Ngombale alipoongoza wajumbe wa kamati hiyo kutembelea kituo hicho cha Afya kilichopo katikati ya Halmashauri ya Jiji la Dodoma jana.

Ngombale alisema kuwa kazi iliyofanyika ni nzuri iliyolenga kuboresha huduma za Afya katika Halmashauri ya Jiji la Dodoma.

Mjumbe wa Kamati hiyo, Selemani Zeddy aliwapongeza wabunge kwa kupitisha shilingi 500,000,000 kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa kituo hicho. “Mheshimiwa Mwenyekiti napenda kuwapongeza waheshimiwa wabunge kwa kupitisha fedha hizo kuja hapa” alipongeza Zeddy. Aidha, alitaka ufafanuzi wa hali ya utoaji huduma baada ya fedha hizo kufika katika kituo cha Afya Makole.

Akijibu hoja hiyo, Mganga Mfawidhi wa kituo hicho, Dkt. George Matiko alisema kuwa wigo wa utoaji huduma umeongezeka na kuwa bora zaidi kwa ongezeko la majengo kutoka matano hadi kufikia 10. “Jengo la wodi ya kina mama wajawazito limehudumia wateja waliojifungua kawaida 8,211 toka mradi ulipokamilika mwezi Julai, 2018. Jengo la upasuaji zimefanyika huduma za upasuaji wa dharura kwa wateja 1,054” alisema Dkt. Matiko.

Mafanikio mengine aliyataja kuwa ni ongezeko la baadhi ya huduma kama maabara na kupunguza mlundikano wa wateja kusubiri huduma hiyo. “Tumeweza kupata mashine za kupima 'full blood picture' na mashine ya 'ultrasound'. Mpaka sasa kitengo hicho kimehudumia wateja 4,174’’ aliongeza Dkt. Matiko.

Ikumbukwe kuwa kituo cha Afya Makole kilianzishwa mwaka 1978 na kusajiliwa kwa namba 028.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.