• Wasiliana nasi |
    • Maswali na majibu |
    • Baruapepe - Watumishi |
    • eVibali |
    • Malalamiko |
Dodoma City Council
Dodoma City Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Jiji la Dodoma

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • Maji
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Ardhi na Mipango Miji
      • Maendeleo ya Jamii, Ustawi wa Jamii, Jinsia na Vijana
      • Ujenzi
      • Mazingira na Udhibiti wa Taka ngumu
    • Vitengo
      • Sheria na Usalama
      • Mkaguzi wa Ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuji
    • Ward
  • Fursa za Uwekezaji
    • Maeneo ya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Mji wa Serikali
    • Kwa nini uwekeze Dodoma?
  • Huduma Zetu
    • Maendeleo ya jamii
    • Elimu
    • Miundombinu
    • Mazingira
    • Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha na Utawala
      • Mipango miji na Mazingira
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Kudhitibi UKIMWI
      • Maadili
    • Kamati zingine/Bodi/Uwakilishi
    • Ratiba
      • Vikao vya Madiwani
      • Kuonana na Mstahiki Meya
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Ripoti
    • Sheria Ndogo
    • Miongozo
    • Mpango Mkakati
    • Fomu
    • Jifunze Nyumbani
    • Mpango Kabambe
    • Jarida
    • Asemavyo Mahia - Afya na Mazingira
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha
    • Habari
    • Matukio
  • City TV

Lonagro yaja na suluhisho, upatikanaji zana za kilimo

Imewekwa tarehe: August 7th, 2020

Kampuni ya Lonagro imekuja na suluhisho la zana za kilimo kwa lengo la kukifanya kilimo kiwe cha kibiashara nchini na kuleta tija zaidi.

Kauli hilo imetolewa na Meneja wa tawi la Dodoma, Petro Benjamin alipokuwa akiongelea ushiriki wa kampuni ya Lonagro katika maonesho ya Nanenane, Nzuguni jijini Dodoma.

Benjamin alisema kuwa kampuni yake imekuja na suluhisho la zana za kilimo nchini. “Tumeleta zana kuanzia zinazohusika na uandaaji wa shamba, mpaka uvunaji wa mazao ya wakulima zinapatikana hapa. Tumekuwa karibu na mifumo ya kibenki ambayo wakulima wengi hawafahamu kwamba serikali imeweka fedha za kutosha katika taasisi za kibenki”. Alitolea mfano benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania kuwa inawawezesha wakulima kukopa mkopo wa zana kwa kutanguliza kiasi cha asilimia 20 ya jumla ya thamani ya zana zote ambazo mkulima anachukua. “Hivyo, inampa mkulima nafuu ya kulipa mkopo wake kwa miaka mitatu, ambapo kila mwaka mkulima analipa mara moja. Na hivyo, kuchangia kuwainua wakulima wa kawaida” alisema Benjamin.

Kampuni ya Lonagro inajishughulisha na uagizaji na uuzaji wa matrekta aina ya “John Deere” pamoja na vifaa vyote vinavyotumika shambani kwa shughuli za kilimo cha kisasa.

Akiongelea ushiriki wa kampuni yake katika maonesho ya Nanenane, alisema kuwa ni kuwapa wakulima fursa ya kujua zana mbalimbali za kilimo cha kisasa na kufahamu mifumo ya upatikanaji wa matrekta na kuweza kuwaeleza mambo mbalimbali ambayo yanahusu zana mpya zilizo sokoni.

“Tunazo zana mpya kabisa kwa mfano tumewaletea kifaa cha kisasa kabisa ambacho kinaitwa ‘planter’ ambayo inatumiwa kupandia mbegu za mahindi, alizeti na maharage. ‘Planter’ hiyo unaweza kuweka mbegu wakati unapanda na kuweka mbolea moja kwa moja” alisema Benjamin.

Aidha, alitoa wito kwa wananchi wa Dodoma na maeneo mengine kutembelea banda la Lonagro ili kujionea zana mbalimbali za kilimo na jinsi ya kuzipata ili waweze kulima kilimo chenye tija.



Matangazo

  • MKUTANO WA BARAZA LA WAHESHIMIWA MADIWANI January 30, 2025
  • KITUO CHA AFYA ILAZO KIMEANZA KUTOA HUDUMA January 13, 2025
  • HOSPITALI YA JIJI LA DODOMA IMEANZA KUTOA HUDUMA ZA AFYA January 12, 2025
  • TANGAZO LA UUZWAJI WA VIWANJA KIKOMBO December 03, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi punde

  • Barabara ya Lami ya Kilometa 6 yawanufaisha wakazi wa Kata ya Miyuji

    April 23, 2025
  • Huduma ya Chakula na Lishe yapandisha ufaulu Shule ya Sekondari Nala

    April 22, 2025
  • Mradi wa Maji Nala wa Bil. 1.3, mkombozi kwa wananchi

    April 22, 2025
  • Milioni 500 kukamilisha mradi wa Kituo cha Afya Kizota

    April 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Watendaji Kata Wilaya ya Dodoma watakiwa kusimamia maswala ya Lishe
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Historia ya Manispaa
  • Wasifu wa Manispaa
  • Kata na Madiwani
  • Mji wa Serikali
  • Orodha ya Madiwani
  • Mpango Mkakati wa Halmashauri (SP)
  • Kwanini uwekeze Dodoma?
  • Zabuni za Wakala wa Ukusanyaji Mapato
  • Zabuni ya Usafi wa Mazingira

Viunganishi Linganifu

  • Msalato Sekondari
  • Mkoa wa Dodoma
  • OR-TAMISEMI
  • Utumishi
  • Chuo Kikuu Dodoma (UDOM)
  • Bunge

World visitors tracker

world map hits counter

Idadi ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani elekezi

Wasiliana nasi

    1 CDA Street, 40477

    Anuani ya posta: 1249, DODOMA, TANZANIA

    Simu: +255 26 232 4817

    Simu ya kiganjani:

    Baruapepe: cd@dodomacc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya tovuti

Copyright ©2017 The City Council of Dodoma. All rights reserved.